Mkuu, wengi wanashona wenyewe kwa kutafuta kile kitambaa kigumu kama unataka zile za mapambano hasa ukiwa field kwenye mikutano..na kuna zile za kushona na kitambaa chepesi kwa ajili ya ofisini na sehemu zingine maalumu. Ni ngumu kupata sehemu wanapouza gwanda kama gwanda, mara nyingi naona skafu, kofia, vitopu, bendera nk