ABC ZA 2025
JF-Expert Member
- May 2, 2018
- 1,160
- 706
Salaam,
RPC Njewike anapaswa kufahamu kwamba Alex Jonas ni Katibu wa Jimbo la Manyoni Mashariki na kwamba nafasi hii haikatazi yeye kufanya kazi ya Bodaboda.
RPC Njawike anapswa kujua kuwa katiba ya CHADEMA inaeleza wazi kuwa mwanachama wa chama chetu anapaswa kuwa na kazi halali ya kufanya mbali ya kuwa kiongozi au mwanachama wa CHADEMA.
Mbali ya kuwa kiongozi wa CHADEMA Alex Jonas alikua BODA BODA & Fundi cherehani na kwamba hii ndio ilikua kazi yake halali wakati wote.
Mbali na hilo hata ingekuwa kweli kwamba Alex Jonas ni boda boda tu na sio kiongozi wa CHADEMA bado haiondoi HAKI yake ya kuishi.
Tunalitaka jeshi la Polisi liendele kufanya uchunguzi wa kina kuliko kujiingiza katika siasa wakati huu tukisubiri taratibu za mazishi,
Gwamaka Mbughi.
Katibu CHADEMA kanda ya kati
Leo trh 27/02/2020
Pia soma: https://www.jamiiforums.com/threads...-bodaboda-na-sio-kiongozi-wa-chadema.1695825/
2) https://www.jamiiforums.com/threads...jonas-auawa-kwa-kukatwakatwa-mapanga.1695330/
RPC Njewike anapaswa kufahamu kwamba Alex Jonas ni Katibu wa Jimbo la Manyoni Mashariki na kwamba nafasi hii haikatazi yeye kufanya kazi ya Bodaboda.
RPC Njawike anapswa kujua kuwa katiba ya CHADEMA inaeleza wazi kuwa mwanachama wa chama chetu anapaswa kuwa na kazi halali ya kufanya mbali ya kuwa kiongozi au mwanachama wa CHADEMA.
Mbali ya kuwa kiongozi wa CHADEMA Alex Jonas alikua BODA BODA & Fundi cherehani na kwamba hii ndio ilikua kazi yake halali wakati wote.
Mbali na hilo hata ingekuwa kweli kwamba Alex Jonas ni boda boda tu na sio kiongozi wa CHADEMA bado haiondoi HAKI yake ya kuishi.
Tunalitaka jeshi la Polisi liendele kufanya uchunguzi wa kina kuliko kujiingiza katika siasa wakati huu tukisubiri taratibu za mazishi,
Gwamaka Mbughi.
Katibu CHADEMA kanda ya kati
Leo trh 27/02/2020
Pia soma: https://www.jamiiforums.com/threads...-bodaboda-na-sio-kiongozi-wa-chadema.1695825/
2) https://www.jamiiforums.com/threads...jonas-auawa-kwa-kukatwakatwa-mapanga.1695330/