Gwajimanize kimsingi maana yake ni kuwa na utawala bora unaofuata sheria, ni kufichua maovu, ni kupinga utekaji, kupotezwa na mauaji ya raia kiholela, ni kuwasaka wasiojulikana na kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria.
Samianize ni kuwa na utawala wa mabavu usiozingatia katiba na sheria za nchi, ni kuanzisha na kufadhili magenge ya wasiojulikana, ni kuteka, kutesa na kuua raia wenye hoja zinazohitaji majibu kutoka serikalini, ni kusifia viongozi mafisadi na wajinga, ni kuanzisha magenge ya machawa na wapambe wa viongozi serikali hata kama ni wezi na majambazi! Kwa kifupi ku-Samianize ni kuwa na viongozi wasiopenda kutenda haki, wezi wa kura na waliojimilikisha uzalendo ili kuiba rasilimali za nchi!
Sasa kazi kwetu wananchi