PreGE2025 Gwajimanize Vs Samianize

PreGE2025 Gwajimanize Vs Samianize

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Izia maji

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2021
Posts
3,259
Reaction score
5,972
photo_2025-05-31_16-42-59.jpg
Sisi wananchi sasa tuna mtihani mkubwa mbele yetu kuchagua kati ya Gwajimanize na Samianize.

Gwajimanize kimsingi maana yake ni kuwa na utawala bora unaofuata sheria, ni kufichua maovu, ni kupinga utekaji, kupotezwa na mauaji ya raia kiholela, ni kuwasaka wasiojulikana na kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria.

Samianize ni kuwa na utawala wa mabavu usiozingatia katiba na sheria za nchi, ni kuanzisha na kufadhili magenge ya wasiojulikana, ni kuteka, kutesa na kuua raia wenye hoja zinazohitaji majibu kutoka serikalini, ni kusifia viongozi mafisadi na wajinga, ni kuanzisha magenge ya machawa na wapambe wa viongozi serikali hata kama ni wezi na majambazi! Kwa kifupi ku-Samianize ni kuwa na viongozi wasiopenda kutenda haki, wezi wa kura na waliojimilikisha uzalendo ili kuiba rasilimali za nchi!

Sasa kazi kwetu wananchi
 
Wananchi tukishajua siasa ni mchezo wa fursa akili zitatukaa.

Yuko wapi Shangazi Fatma Karume?? Tuliemsifu kwa kuukemea mliouita udikteta wa Magufuli???
 
Wananchi tukishajua siasa ni mchezo wa fursa akili zitatukaa.

Yuko wapi Shangazi Fatma Karume?? Tuliemsifu kwa kuukemea mliouita udikteta wa Magufuli???
Daah!

Yaani Fatma Karume anaona alichofanyiwa Agatha Atuahire ni powa tu, sababu kimefanywa na mzanibari mwenzake.
 
Samianize a.k.a toa roho za watu!
 
Sisi wananchi sasa tuna mtihani mkubwa mbele yetu kuchagua kati ya Gwajimanize na Samianize.

Gwajimanize kimsingi maana yake ni kuwa na utawala bora unaofuata sheria, ni kufichua maovu, ni kupinga utekaji, kupotezwa na mauaji ya raia kiholela, ni kuwasaka wasiojulikana na kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria.

Samianize ni kuwa na utawala wa mabavu usiozingatia katiba na sheria za nchi, ni kuanzisha na kufadhili magenge ya wasiojulikana, ni kuteka, kutesa na kuua raia wenye hoja zinazohitaji majibu kutoka serikalini, ni kusifia viongozi mafisadi na wajinga, ni kuanzisha magenge ya machawa na wapambe wa viongozi serikali hata kama ni wezi na majambazi! Kwa kifupi ku-Samianize ni kuwa na viongozi wasiopenda kutenda haki, wezi wa kura na waliojimilikisha uzalendo ili kuiba rasilimali za nchi!

Sasa kazi kwetu wananchi

Bila shaka ukimaanisha:

"Hapa ni watekaji dhidi ya watekwaji!"

Ngoja tutambuane.
 
Back
Top Bottom