Kama ana fedha hizo mbona bado wanasalia kwa uwanja hata yule wa ARUSHA jo nani sijui nae kanisa pale la makuti na kondoo wanazidi kuwa masikini tuuu.....
Hapo hapo kwenye taaluma yako: Diagnosis hufanywa kwa mambo kadhaa: history, physical examination and lab investigations(to say just few). umefanya lipi kati ya haya mpaka ukapata hiyo conclusion yako?