Tulisikia na kuona kwamba Mchungaji Gwajima aliitwa central police kuhojiwa kuhusiana na MATAMSHI aliyoyatoa dhidi ya Askofu Pengo, Aliitikia wito na alikuwa na Mwanasheria wake, sasa nataka kujua haya
1. Ni kwa vipi police walihoji mali za mchungaji
2. Mwanasheria wake alikua na msaada gani wakati wa mahojiano
3. Mbona hatujawahi kusikia mtu yeyote akiitwa kuhojiwa juu ya mali zake
Sasa jeshi la police kazi zenu zinanichanganya iweje mtu amtollee matamshi mtu mwingine alafu mahojiano na police yawe kuhusu mali?
WAUNGWANA TUMEFIKA PABAYA
Abbyssus abbyssum invocat
1. Ni kwa vipi police walihoji mali za mchungaji
2. Mwanasheria wake alikua na msaada gani wakati wa mahojiano
3. Mbona hatujawahi kusikia mtu yeyote akiitwa kuhojiwa juu ya mali zake
Sasa jeshi la police kazi zenu zinanichanganya iweje mtu amtollee matamshi mtu mwingine alafu mahojiano na police yawe kuhusu mali?
WAUNGWANA TUMEFIKA PABAYA
Abbyssus abbyssum invocat