Gwajima umezidi uongo, wana Kawe tumekuchoka

Mmawia

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
122,418
95,830
Wakati unaomba ubunge ulituahidi mambo mengi sana.

Tulikuamini kwa kuwa wewe ni mchungaji yaani mtumishi wa Mungu hivyo hatukujua kama wewe utakuja kutugeuka.

Ulituahidi kutuletea boti za kuvulia samaki kwenye bahari yetu ya Hindi maana ndiyo ipo karibu na makazi yetu.

Ulituahidi kutuletea treni ya abiria kutoka Marekani kwa rafiki zako ili itusaidie masuala ya usafiri lakini hadi Leo hii tunaendelea kuhenyeka na daladala tu.

Mwishowe leo hii unakuja kutukimbiza mchaka mchaka bila kutekeleza ahadi zako za mwaka 2020?

Tumekuchoka mchungaji wa kondoo, Rudi kanisani mambo ya siasa waachie wenyewe.
 
Wakati unaomba ubunge ulituahidi mambo mengi sana.

Tulikuamini kwa kuwa wewe ni mchungaji yaani mtumishi wa Mungu hivyo hatukujua kama wewe utakuja kutugeuka.

Ulituahidi kutuletea boti za kuvulia samaki kwenye bahari yetu ya Hindi maana ndiyo ipo karibu na makazi yetu.

Ulituahidi kutuletea treni ya abiria kutoka Marekani kwa rafiki zako ili itusaidie masuala ya usafiri lkn hadi Leo hii tunaendelea kuhenyeka na daladala tu.

Mwishowe leo hii unakuja kutukimbiza mchaka mchaka bila kutekeleza ahadi zako za mwaka 2020?

Tumekuchoka mchungaji wa kondooo,Rudi kanisani mambo ya siasa waachie wenyewe.
Sema wanamakao makuu ufipa utaeleweka. Lakini sisi wananchi wa kawe na wapiga kura mahili, bado tunaimani kubwa na jemadari josephat gwajimaaaa. Chapa kazi gwajimaa. Tunaimani na wewee
 
Na nyie wananchi hyo tren aliyowahidi ilikuwa ijee ipitee Kwenye njiaa ipii mkuu😂😂😂. Wana siasa n nyokoo sanaa na huyu njee ya ubunge n mchungaji pia yaan anadanganya kanisani anafufua watu na uku Kwenye ubunge anawadanganya piaa yaan mpk tusemeee..
 
Sema wanamakao makuu ufipa utaeleweka. Lakini sisi wananchi wa kawe na wapiga kura mahili, bado tunaimani kubwa na jemadari josephat gwajimaaaa. Chapa kazi gwajimaa. Tunaimani na wewee
Kila mtanzania mwenye akili anawajua maccm kuwa maisha yenu ni Sawa na walevi wanywa gongo maana kila ukinywa lazima ufumbe macho
 
Na nyie wananchi hyo tren aliyowahidi ilikuwa ijee ipitee Kwenye njiaa ipii mkuu. Wana siasa n nyokoo sanaa na huyu njee ya ubunge n mchungaji pia yaan anadanganya kanisani anafufua watu na uku Kwenye ubunge anawadanganya piaa yaan mpk tusemeee..
Umeonaeeeee? Anajiita mfufua wafu
 
Na nyie wananchi hyo tren aliyowahidi ilikuwa ijee ipitee Kwenye njiaa ipii mkuu. Wana siasa n nyokoo sanaa na huyu njee ya ubunge n mchungaji pia yaan anadanganya kanisani anafufua watu na uku Kwenye ubunge anawadanganya piaa yaan mpk tusemeee..
Ni tapeli kama matapeli wengine tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom