subiri kuwa mpoleMnafikiri atasema ni yeye?
Una....Bora atubu tu,maana ni yeye. Asutudanganye kuwa ni photoshop.
Hio video sio kweli ni ya kutengeneza
Ngoja 2subiriNirushie na mimi niahakikishe maana sijabahatika kuiona...
Niliifuta. Kiongozi, ila ilikuwa balaa,Nirushie na mimi niahakikishe maana sijabahatika kuiona...
Pole kwake, Na imani hiyo press confrence ataweka wazi ukweli wote.Niliifuta. Kiongozi, ila ilikuwa balaa,
Njoo pmJamani video, kweli!! Mbona mimi sijaona video, naona tu Picha ambazo zina ukakasi mwingi sana
Unauhakika? Wabongo mnapenda matango poliBora atubu tu,maana ni yeye. Asutudanganye kuwa ni photoshop.
Njoo pmJamani mwenye huruma atutumie au kama vp Anitumie mwenyewe Pm wala sitaisambaza toka jana nahangaika kuitafuta.....
Ila Jitahid I upate, sio ya kispot kispotPole kwake, Na imani hiyo press confrence ataweka wazi ukweli wote.
Maana huyu mtumishi wa Mungu kachufuliwa sana.
Sasa kwanini? Uliifuta ukanisahau mtu wako, kupitia hiyo video na mimi ningepata cha kuandika..Ila Jitahid I upate, sio ya kispot kispot
Ila watu wanazo humu, chek nao pm mkuuSasa kwanini? Uliifuta ukanisahau mtu wako, kupitia hiyo video na mimi ningepata cha kuandika..
Ila chek na Numbisa huyu hawezi Ikosa hata kwa dawaSasa kwanini? Uliifuta ukanisahau mtu wako, kupitia hiyo video na mimi ningepata cha kuandika..