Gwajima kesho Ndani ya clouds

AfricanBoi

New Member
Feb 7, 2017
3
2
Daudi Albert Bashite tumbo joto baadae ya hasim wake wa kipundi kifupi kutembelea Clouds. Media Group kesho siku ya tar 22/3/2016 mida ya saa nne
I
 
eti leo hii humu jf asilimia kubwa wamekuwa arafiki wa clouds redio ya wafu,nasema makonda angeenda kujilipua na hawa wapuuzi wa clouds,hawa wajinga baada ya wiki or so mtawaona next to ccm elites au wakiwapaisha...you can't trust a traitor like ruge
 
eti leo hii humu jf asilimia kubwa wamekuwa arafiki wa clouds redio ya wafu,nasema makonda angeenda kujilipua na hawa wapuuzi wa clouds,hawa wajinga baada ya wiki or so mtawaona next to ccm elites au wakiwapaisha...you can't trust a traitor like ruge

Kabisa...

Wamezidi kujipendekeza wacha watafunwe kwanza..
 
eti leo hii humu jf asilimia kubwa wamekuwa arafiki wa clouds redio ya wafu,nasema makonda angeenda kujilipua na hawa wapuuzi wa clouds,hawa wajinga baada ya wiki or so mtawaona next to ccm elites au wakiwapaisha...you can't trust a traitor like ruge
Kukosana na Makonda haina maana wakosane na ccm pia, kile ni kituo cha redio hakipo pale kufanya siasa au kufitinisha wala kusimama upande wowote ule, atakae kuwa sawa watampaisha na akizingua kama Bashite watamshusha, wapo pale ki maslahi zaidi pamoja na usawa na sio kufuata mkumbo wa wanachokichukia wananchi na wao wakichukie, hatuendi hivyo, hicho ni kituo kinatakiwa kutoa habari yoyote ile ya mtu yoyote yule iwe mbaya au nzuri.
 
Back
Top Bottom