Gwajima kesho kusuka au kunyoa

Gwajima kesho kusuka au kunyoa

Baba askofu hakuna alipo kosea..Na asye kosea ni malaika peke yake fata neno sio matendo
Mbona unasema hakuna alipokosea, alafu kama unamtetea kwa kukosea jambo hivi ...au ndio unamtetea kwa kutokukosea kwake? Haha, nimecheka kwa sauti asee...
 
Hiyo ishu ya Chidy na cecy ni propaganda tu kujinusuru kupoteza sadaka za wahumini wakihamua kuhamia kwa Mzee Wa Tanzania Konyagi....Teja acheze movie ya Ngono alafu alipwe 15m,alafu wakati Wa kuchukua video apanic kwa nn wanachukua Sura yake huyo teja au mteja,mateja wanakaa uchi karikoo tena bure sembuse umtangazie mkwanja wote huo?....hii ni uhongo braza....leteni Og yake.....Kesho nakaa kabsaaa kitu cha mbele.
Uwezo wako wa uandishi unasikitisha sana
 
#Dr_Bishop_Gwajima
Video ya Gwajima akifanya ngono imetegenezwa na IT vijana wa mkuu wa mkoa wa Dar esalaam saa chache ilitumwa kwenye Group la whatsapp la watumishi wa mkoa baadaye kusamba kwenye magroup mengine.
Clip ambayo Bishop Dr Josephat Gwajima akiwa kifua wazi 100% ni snap yake ila aliyetegeneza clip hiyo aliunganisha clips mbili kwa wakati mmoja yani
-
-
Ile Joseph Gwajima akiwa kifua wazi hii ni clips ambayo Josephat Gwajima alijirekodi mwaka 2008 ndani ya kanisa lilikuwa hata bado halijakamilika na
-
-
Clip ya pili anaonekana Dr.Josephat Gwajima akifanya mapenzi hiyo ni picha ya kijana mmoja anajulikana kwa jina la Chid kichwa cha Gwajima kimekuwa croped kutoka kwenye clip yake nyingine pamoja na dada anayejulikana kwa jina la Cecy ambao wote wawili ni waathirika wa madawa ya kulevya japo kwa sasa wamepona kabisa wanatokea sober house Kigamboni walicheza hiyo clip kwa makubaliano maalum ya kulipwa mil 15 kwa wote wawili wakati editor alipata mil 5
-
-
Walilipwaje pesa nyingi hivyo wakati walikuwa wanafanya hicho kitendo wakiwa #FACE_OFF tukio lenyewe lilifanyika eneo la ukumbi ambao ulipambwa jukwaani ili ufanane na picha waliyokuwa wakiichukulia sample japo walifeli kidogo wakati wa kulinganisha pia kulikuwa na watu wanasimamia zoezi zima kama wamefumaniwa!
-
-
Kwenye hiyo clip ananaonekana Gwajima akinyoosha mkono kuiziba Camera mbapo inaonekana kuna mtu alikuwa anachukuwa tukio sasa iweje Gwajima aone mtu akichukuwa tukio halafu aendelee kufanya mapenzi?
Iko hivi kabla sura ya Gwajima haijapachikwa kwenye hiyo video makubaliano ilikuwa sura ya Chid na dada Cecy zisionekane sasa kipande hicho kinaonekana mkono ukizuia camera Chid alishtuka baada ya kuitwa na Alphonso (Editor) kwamba atizame camera ndipo Chid alipo paniki hapo kuna sauti iliondolewa ‘”we msenge vipi mbona unataka kuniuzisha sura? wakati makubaliano sura zetu zisionekane? Alphonso akamwambia usiwe na wasiwasi hapa natafuta position ya jinsi ya body staili ili wakati anaicrop kichwa cha Gwajima kikae vizuri maana lazima tumgeuzie kwa huku ili watu waone.
Baada ya kumaliza Bashite aliwaka sana baada ya kuona ule mkono uliokuwa unazuia camera maana umeharibu film Chid aligoma kurudia shooting ndipo Chid aliongozana na Alphonso hadi Magomeni ili akashuhudie jinsi editor akifanya kazi na kuhakikisha sura yake haionekani na kubaki sura ya Gwajima ikumbukwe tukio lilifanyikia Kigamboni.
Software iliyotumika kuchezeshea huo mchezo ni Lightwork na Blender Mac OS maalum kwa ajili ya action movies
Mngetoa kabisa video ili watu wawaelewe kabisa
 
Hivi hakuna watu waliobobea kiroho ili wamuombe Mungu awonesha mwanga wa hili jambo kwa njia ya kiroho au hatutawaaminj?
Nawaza tu.
 
Binti kalala kisha kaangalia pembeni na kumuacha mwanaume amalize mchezo,mbali na kukata kiuno hata miguno hiyo inaweza kudhihirisha namna gani lilikuwa ni tukio la kuandaliwa(japo sina uhakika).
Mwanamke hakuwa emotional.
 
kuna watu wabaya wanasema Bashy boy ametengeza hii vidio,lakini nijuavyo bashy alishamaliza tofauti na gwajima na last sunday kama sikosei kulikua na uzi humu ukionyesha picha ya pamoja,sasa iweje sasa wamepatana kisha iibuke hii video siku mbili baadae?
 
Video ya Ngono ni ya Gwajima mwenyewe.
Sisi majirani zake tunayemwona kila mara tunamtambua vizuri sana.

Asimsingizie Mkuu wa Mkoa.

Gwajima umeanza zamani kufanya Uzinzi na waumini wako na majirani zako.
Ulishalalamikiwa pia na Mbasha kwa mkewe Flora.

Neno linasema iko siku matendo yako maovu yataoneshwa hadharani, yataonekana kwenye mwanga, juu ya Kinara yatatangazwa.

Hivi Gwajima unafikiria Neno linaongopa ?

Umeona leo limetimia kwako...!

Usimchezee Kristo Gwajima, yeye ni Mungu mwenye Nguvu, Mfalme wa Amani.
Mungu ni Mwema sana, huwezi kumchezea namna hiyo.
Kama unataka kuwa Askofu na Uwe Askofu.
La sivyo njoo mtaani uziridhishe tamaa zako.

Gwajima ukiendelea kumdhihaki Kristo kwa kujifanya Askofu huku unafanya uzinzi na makahaba, utakuja kufa Gwajima.

Usicheze na Neno la Mungu, ni Moto ulao.

Gwajima usipoteze muda wa kujisafisha, bali jitathmini kama unafaa kufanya kazi ya utumishi wa Mungu.

Kwasasa umepoteza sifa za kuitwa mtumishi wa Mungu.

Kwako sasa ni muda wa kutubu na sio kujitetea kwa Wanadamu kana kwamba unawatumikia Wanadamu.

Jitafakari Gwajima.
 
#Dr_Bishop_Gwajima
Video ya Gwajima akifanya ngono imetegenezwa na IT vijana wa mkuu wa mkoa wa Dar esalaam saa chache ilitumwa kwenye Group la whatsapp la watumishi wa mkoa baadaye kusamba kwenye magroup mengine.
Clip ambayo Bishop Dr Josephat Gwajima akiwa kifua wazi 100% ni snap yake ila aliyetegeneza clip hiyo aliunganisha clips mbili kwa wakati mmoja yani
-
-
Ile Joseph Gwajima akiwa kifua wazi hii ni clips ambayo Josephat Gwajima alijirekodi mwaka 2008 ndani ya kanisa lilikuwa hata bado halijakamilika na
-
-
Clip ya pili anaonekana Dr.Josephat Gwajima akifanya mapenzi hiyo ni picha ya kijana mmoja anajulikana kwa jina la Chid kichwa cha Gwajima kimekuwa croped kutoka kwenye clip yake nyingine pamoja na dada anayejulikana kwa jina la Cecy ambao wote wawili ni waathirika wa madawa ya kulevya japo kwa sasa wamepona kabisa wanatokea sober house Kigamboni walicheza hiyo clip kwa makubaliano maalum ya kulipwa mil 15 kwa wote wawili wakati editor alipata mil 5
-
-
Walilipwaje pesa nyingi hivyo wakati walikuwa wanafanya hicho kitendo wakiwa #FACE_OFF tukio lenyewe lilifanyika eneo la ukumbi ambao ulipambwa jukwaani ili ufanane na picha waliyokuwa wakiichukulia sample japo walifeli kidogo wakati wa kulinganisha pia kulikuwa na watu wanasimamia zoezi zima kama wamefumaniwa!
-
-
Kwenye hiyo clip ananaonekana Gwajima akinyoosha mkono kuiziba Camera mbapo inaonekana kuna mtu alikuwa anachukuwa tukio sasa iweje Gwajima aone mtu akichukuwa tukio halafu aendelee kufanya mapenzi?
Iko hivi kabla sura ya Gwajima haijapachikwa kwenye hiyo video makubaliano ilikuwa sura ya Chid na dada Cecy zisionekane sasa kipande hicho kinaonekana mkono ukizuia camera Chid alishtuka baada ya kuitwa na Alphonso (Editor) kwamba atizame camera ndipo Chid alipo paniki hapo kuna sauti iliondolewa ‘”we msenge vipi mbona unataka kuniuzisha sura? wakati makubaliano sura zetu zisionekane? Alphonso akamwambia usiwe na wasiwasi hapa natafuta position ya jinsi ya body staili ili wakati anaicrop kichwa cha Gwajima kikae vizuri maana lazima tumgeuzie kwa huku ili watu waone.
Baada ya kumaliza Bashite aliwaka sana baada ya kuona ule mkono uliokuwa unazuia camera maana umeharibu film Chid aligoma kurudia shooting ndipo Chid aliongozana na Alphonso hadi Magomeni ili akashuhudie jinsi editor akifanya kazi na kuhakikisha sura yake haionekani na kubaki sura ya Gwajima ikumbukwe tukio lilifanyikia Kigamboni.
Software iliyotumika kuchezeshea huo mchezo ni Lightwork na Blender Mac OS maalum kwa ajili ya action movies
Umetumia nguvu nyingi sana
Mbona kuna picha gwajima amepiga na yule dada?
Mapazia yale ni ya chumbani kwa gwajima
Tutathibitisha vipi kwamba ile video ya askofu ni ya 2008 eti hata kanisa halijamalizika
 
Back
Top Bottom