Ali deal na Bashite tu.Awamu ya tano hakuyasema haya
Mtu yeyote ambaye hajali Thamani ya Mtu usimwamini hata siku moja kwamba atachochea maendeleo kwenye nchi.Askofu Gwajima, mbunge wa CCM, na kiongozi wa Kanisa la Uzima na ufufuo amesema kuwa nchi haina haki, maisha ya mwanadamu hayathaminiwa. Akasema hakuna sababu ya kuteka watu. Akauliza ni kwa nini maisha ya mtanzania hayathaminiwi?
Ameendelea kusema kuwa mitungi yote ya gas tunayoiona, hakuna hata wa kampuni moja uliojazwa gas ya Tanzania. Akauliza, ni kwa nini?
Anasema kuwa nchi ina mapepo.
Najiuliza: hayo mapepo yapo kwa viongozi au watanzania wote? Hayo mapepo tutayaondoaje?
Hii nchi ni nani aliyeridhika na yanayoendelea? Maana wananchi wanalalamika (isipokuwa machawa), viongozi wa siasa wanalalamika (isipokuwa viongozi machawa), viongozi wa dini wanalalamika.
Kama sote tunalalamika, nani wa kuchukua hatua kuyaondoa tunayoyalalamikia?
Msikilize Gwajima:
View attachment 3312812
Kumbe Wenzetu Mikocheni Mmeshaunganishwa Mabomba ya Gesi nyumba 480?Askofu Gwajima, mbunge wa CCM, na kiongozi wa Kanisa la Uzima na ufufuo amesema kuwa nchi haina haki, maisha ya mwanadamu hayathaminiwa. Akasema hakuna sababu ya kuteka watu. Akauliza ni kwa nini maisha ya mtanzania hayathaminiwi?
Ameendelea kusema kuwa mitungi yote ya gas tunayoiona, hakuna hata wa kampuni moja uliojazwa gas ya Tanzania. Akauliza, ni kwa nini?
Anasema kuwa nchi ina mapepo.
Najiuliza: hayo mapepo yapo kwa viongozi au watanzania wote? Hayo mapepo tutayaondoaje?
Hii nchi ni nani aliyeridhika na yanayoendelea? Maana wananchi wanalalamika (isipokuwa machawa), viongozi wa siasa wanalalamika (isipokuwa viongozi machawa), viongozi wa dini wanalalamika.
Kama sote tunalalamika, nani wa kuchukua hatua kuyaondoa tunayoyalalamikia?
Msikilize Gwajima:
View attachment 3312812
Kweli aiseeHAPANA usimwamini mwana CCM yyte yule.itakula kwako.
KAZI ni kipimo cha utu
Bungeni aliwambia wale wenzake?Ni yeye wa kuyaondoa haya yote!!Lini unachukua fomu ewe jabali!!?
Chaujanja. Wameanza leo kwani?Askofu Gwajima, mbunge wa CCM, na kiongozi wa Kanisa la Uzima na ufufuo amesema kuwa nchi haina haki, maisha ya mwanadamu hayathaminiwa. Akasema hakuna sababu ya kuteka watu. Akauliza ni kwa nini maisha ya mtanzania hayathaminiwi?
Ameendelea kusema kuwa mitungi yote ya gas tunayoiona, hakuna hata wa kampuni moja uliojazwa gas ya Tanzania. Akauliza, ni kwa nini?
Anasema kuwa nchi ina mapepo.
Najiuliza: hayo mapepo yapo kwa viongozi au watanzania wote? Hayo mapepo tutayaondoaje?
Hii nchi ni nani aliyeridhika na yanayoendelea? Maana wananchi wanalalamika (isipokuwa machawa), viongozi wa siasa wanalalamika (isipokuwa viongozi machawa), viongozi wa dini wanalalamika.
Kama sote tunalalamika, nani wa kuchukua hatua kuyaondoa tunayoyalalamikia?
Msikilize Gwajima:
View attachment 3312812
😀😀Chaujanja. Wameanza leo kwani?
HIi imeeendaa!!Sasa wote tunasema. Kimoyomoyo:
No Reform No ELECTION!!!
Hukuwepo nchini wewe, kupitia huyu tukijua kitu inaitwa KOLOMIJE nk, kafatilie hiloAwamu ya tano hakuyasema haya
🤣🤣🤣HIi imeeendaa!!