Guys were not safe, Maxence take care

Guys were not safe, Maxence take care

Kwani yeye Max hajui? Mbona alisha sema wazi kuwa alitishwa na kuambiwa atafanywa vibaya, na wala hakutakua na kelele na kusahaulika kabisa.

Kila mtu ajishikilie, Tuko sehemu mbaya, na davoo yuko speed 150 kibatiiiiii.
😢😢😭😭
nchi inaongozwa na mapepo/majini
 
Inabidi tu uwe smart kwa kufanya yaliyo sahihi na mema mbele za Mungu basi
 
Aise Mimi nimeamua kutecare my self mapema sanaaaa

Hali si Hali wakuu tupo hatarini kitekwa,kufirwa na kuuwawa zaidi tupo hatarini kuliko mjuavyo na tumetegwa kila PAHALA mpaka tunaponyea tumetegegwa, unaweza ingia chohooni ukamezwa na chooo take care
Max Mello take care Broo your in danger.
Lisemwalo lipo. Maxence Melo take good care of yourself and your JF members. God bless JF, God bless Melo.
 
Kwani yeye Max hajui? Mbona alisha sema wazi kuwa alitishwa na kuambiwa atafanywa vibaya, na wala hakutakua na kelele na kusahaulika kabisa.

Kila mtu ajishikilie, Tuko sehemu mbaya, na davoo yuko speed 150 kibatiiiiii.
😢😢😭😭
Mungu Mwema Kila wakati!
 
Aise Mimi nimeamua kutecare my self mapema sanaaaa

Hali si Hali wakuu tupo hatarini kitekwa,kufirwa na kuuwawa zaidi tupo hatarini kuliko mjuavyo na tumetegwa kila PAHALA mpaka tunaponyea tumetegegwa, unaweza ingia chohooni ukamezwa na chooo take care
Max Mello take care Broo your in danger.
Sidhani kama hali iko hivyo.

Cha msingi ni kwa walo nje uendapo TZ uwe clean.

Kama una social media accounts tofautisha kati ya binafsi na harakati.

Pia tukumbuke kwamba sasa hivi kuna advanced technology imekuwa applied huko tisiaraei na hiyo ni habari ya uhakika kabisa.

Juzijuzi nilipata nafasi ya kuhudhuria maonyesho ya teknolojia mbalimbali za usalama na khasa kwenye sekta ya mawasiliano na cybersecurity na nchi nyingi sasa hivi zashindana kupata wateja.

Uturuki, China, Russia na nchi zingine zimekuja juu sana, hivyo tahadhali ni muhimu khasa kwenye sekta ya mawasiliano.

Ni hayo tu.
 
Sidhani kama hali iko hivyo.

Cha msingi ni kwa walo nje uendapo TZ uwe clean.

Kama una social media accounts tofautisha kati ya binafsi na harakati.

Pia tukumbuke kwamba sasa hivi kuna advanced technology imekuwa applied huko tisiaraei na hiyo ni habari ya uhakika kabisa.

Juzijuzi nilipata nafasi ya kuhudhuria maonyesho ya teknolojia mbalimbali za usalama na khasa kwenye sekta ya mawasiliano na cybersecurity na nchi nyingi sasa hivi zashindana kupata wateja.

Uturuki, China, Russia na nchi zingine zimekuja juu sana, hivyo tahadhali ni muhimu khasa kwenye sekta ya mawasiliano.

Ni hayo tu.
Kwamba inafanya kazi kumpata watu wenye ID fake
 
Back
Top Bottom