Guys i need your help

Guys i need your help

Miss chaga hiyo we unaonaje? najua we mtt w tajir usha



Haikwepeki kwmba ubongo wa binadam unawaza asilimia kubwa mambo hasi ambayo asilimia kubwa hayapo.kumbuka ubongo hauna off switch na binadam anajijua kwmba haya ninayowaza hayapo na ni upuuz tatizo taepuka vp hapo ndo mtu anakuwa frustrated kuliko tatizo lenyewe analofkiria.just like put gas onto fire.ukitaka kukabiliana na mambo unahic unayawaza kupindukia kwanza usiyafkuze hayo mawazo wala usifanye kitu ili ujisahaulishe yatarudi tu.kikubwa we fkiria huo ujinga wote upuuz wote tena ukiona yanaisha yaite tena uyafkirie ila kikubwa dont react yaache yaje ila usifanye chchte kuyakabili au behave km n kweli hapo utayashinda na utaishi kw aman km hujaelewa kwa kiswahili niambieni niandike n english
ehee nimekupata sana mkuu
 
Kama unaloongea ni kweli kijana ushauri wangu ni huu utakusaidia.
Mtafute baba ya ko akiwa ametulia mfuate ukiwa mwenyewe.Mwambie baba mimi najua nimewakosea sana makosa mengi nyie kama wazazi na familia kwa ujumla nimefanya hiki na hiki na hiki....taja makosa wanayoyajua na wewe uliona umewakwaza.. pamoja na makosa mengine ambayo nimefanya bila kujijua.
Najutia makosa yangu naomba mnisamehe kuanzia leo nahidi kubadilika na nitafanya kile unachotaka baba.Nyie ndo wazazi wangu siwezi kupata wengine kamwe kwani nawapenda sana.
Ukishasema maneno hayo babaako hata kama atakuwa mgumu kama jiwe atakushangaa sana.Baada ya hapo badilika kabisa kuwa mtoto mtiifu utaona matunda yake.Pia fuatana na marafiki wanaowatii wazazi.Nakitakia kila la kheri
asante. jumapil ntaongea nae thnx again
 
You seem to have a psychological problem..may be you are humiliated with people in your family..but also it may be because you are self centered..you dont go out and share your experiences with others. If you are likely to have those traits, it may be the reason for who you are..above all if you do compare yoursef with others.
thnx for ur advice
 
Nakumbuka ulishwahi kiweka uzi kuhusu baba yako kwny odhu za shule...masaada wangu kwako ni kuongea na mama yako ili amweke sawa baba ako then ndo ukae pamoja na father ako umweleze tatizo lako...usiende direct kwa mara ya kwanza...lazima myu awepo kati yenu ndo mtaweza kusolve vizuri...

Mwenyez Mungu akujaalie uepukane na hayo matatizo..InshaAllah
maa anajua lkn asemi ktu. thnx for ur advice
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom