Executivesister
JF-Expert Member
- Aug 7, 2012
- 514
- 594
Kama unaloongea ni kweli kijana ushauri wangu ni huu utakusaidia.
Mtafute baba ya ko akiwa ametulia mfuate ukiwa mwenyewe.Mwambie baba mimi najua nimewakosea sana makosa mengi nyie kama wazazi na familia kwa ujumla nimefanya hiki na hiki na hiki....taja makosa wanayoyajua na wewe uliona umewakwaza.. pamoja na makosa mengine ambayo nimefanya bila kujijua.
Najutia makosa yangu naomba mnisamehe kuanzia leo nahidi kubadilika na nitafanya kile unachotaka baba.Nyie ndo wazazi wangu siwezi kupata wengine kamwe kwani nawapenda sana.
Ukishasema maneno hayo babaako hata kama atakuwa mgumu kama jiwe atakushangaa sana.Baada ya hapo badilika kabisa kuwa mtoto mtiifu utaona matunda yake.Pia fuatana na marafiki wanaowatii wazazi.Nakitakia kila la kheri
Mtafute baba ya ko akiwa ametulia mfuate ukiwa mwenyewe.Mwambie baba mimi najua nimewakosea sana makosa mengi nyie kama wazazi na familia kwa ujumla nimefanya hiki na hiki na hiki....taja makosa wanayoyajua na wewe uliona umewakwaza.. pamoja na makosa mengine ambayo nimefanya bila kujijua.
Najutia makosa yangu naomba mnisamehe kuanzia leo nahidi kubadilika na nitafanya kile unachotaka baba.Nyie ndo wazazi wangu siwezi kupata wengine kamwe kwani nawapenda sana.
Ukishasema maneno hayo babaako hata kama atakuwa mgumu kama jiwe atakushangaa sana.Baada ya hapo badilika kabisa kuwa mtoto mtiifu utaona matunda yake.Pia fuatana na marafiki wanaowatii wazazi.Nakitakia kila la kheri