Kwa msimu huu wa mavuno ni kawaida kabida bei kushuka. Ila bahati mbaya kwa walaji na bahati nzuri kwa wakulima waliopata mavuno ni kwamba mwaka huu wa kilimo mavuno kwa ujumla ya mpunga si mazuri kabisa. Kwahyo hata ww unayeuza kama unaweza subiri walau miezi3 hv uone soko litakavyokubali