'Guiness Records' na Kikwete !

'Guiness Records' na Kikwete !

Sizinga

Platinum Member
Joined
Oct 30, 2007
Posts
9,519
Reaction score
7,287
mi kila asubuhi pale akilli yangu inapotulia,kwamba kwanini huyu muh. rais kikwete asiwekwe kwenye kile kitabu cha rekodi mbalimbali za duniani wakati yeye pekee ndio kaziweka???jamani naombeni jibu ni kwa nini haingizwi kule kwani tunajua haya yafuatayo hamna rais yeyote aliweka hizi rekodi....naanza:

1. KIKWETE NDIO RAIS WA KWANZA DUNIANI KUDANGANYWA VIBAYA MNO NA WASIMAMIZI WAKE WAKUBWA SERIKALINI
mf: a/ ufunguzi wa daraja la msumbiji wakati halijakamilika,yeye kadanganywa limeisha na kufungua kumbe ni changa la macho,kafungua tena mara ya pili ile juzijuzi
b/ ufunguzi wa ile bus stand(sina uhakika ni shinyanga au singida) iliyozungushiwa magunia na yeye kikwete akakata utepe wa kuifungua kumbe ilikuwa hata robo haijaisha kukamilika
c/ makabidhiano ya magari ya wagonjwa kwa wakurugenzi wa wilaya falni pale ikulu
d/ufunguzi wa ile hotel flani na kesho ya kubomolewa
e/ile check iliyoandikwa milion 3 tarakimu wakati maneno yameandikwa milioni 2..huu ni ufinyu sana
f/ zile kadi 360 za chadema alizokabidhiwa kwenye kampeni zake akadanganywa kwamba chadema wamehamia ccm
g/ kadanganywa kwamba BASHE sio raia na kumvua madaraka yote aliyonayo ndani ya chama wakati ni raia halali wa tz
h/ alidanganywa umri na masauni yule m/kiti wa UVCCM na baadae kuvuliwa madaraka
i/ alidanganywa na shekhe yahaya mtabiri kwamba yeyote atayeshindana na kikwete kwenye kugombea uraisi atakufa....heeeee kullikoni mtabiri na ullnzi hewa usioonekana tena?
j/ kadanganywa na madaktari wake kwamba haumwi wakati kila kukicha anadondoka dondoka tu...heeee ye mwenyewe hajishangai??
hembu ongezeeni nyingine wazee



2. KIKWETE NDIO RAIS WA KWANZA DUNIANI KUWA NA REKODI YA KUANGUKA ANGUKA MBELE YA KADAMNASI



3. KIKWETE NDIO RAISI WA KWANZA DUNIANI KUFANYA SAFARI NYINGI ZA NJE YA NCHI NDANI YA MWAKA MMOJA TANGU AINGIE MADARAKANI


4. KIKWETE NDIO RAISI WA KWANZA DUNIANI KUTAMKA HADHARANI KWAMBA HAJUI UMASKINI WA WATU WAKE (WATZ) UNATOKANA NA NINI


5. KIKWETE NDIO RAISI WA KWANZA DUNIANI AKIWA KAMA MWENYEKITI WA CHAMA TAWALA KUPIGWA BITI NA KATIBU WAKE BILA VIKAO VYOYOTE ASIHUDHURIE MIDAHALO YOYOTE ITAKAYOFANYIKA KUSAKA MGOMBEA BORA KWA WANANCHI

6. RAISI WA KWANZA DUNIANI KUCHAKACHULIWA MAFUTA KWENYE GARI YAKE IKAZIMA BARABARANI:eyebrows:

JAMANI REKODZ NI NYINGI MWENYE NAZO AZIWEKE ILI TUFANYE UTARATIBU WA KUMUINGIZA KWEYE KALE KAJITABU CHA GUINESS............NAWAKILISHA!!!!:eyebrows::fencing::A S thumbs_down:
 
Kwa jinsi serikali inavyoendeshwa huenda ndio lengo lake la kuingia katika hicho kitabu cha rekodi cha Guinness:becky::becky:!
 
wastage of time and resources. kama ni muajiriwa wa serikali na unadai 315000 wakati hamna lolote unalofanya zaidi ya kuandika ujinga huu, ni aibu.
 
Ni rais wa kwanza Tanzania kuwa madarakani kwa muda mfupi/ kipindi kimoja tu!
 
Very Good! Record nyingine ni kwamba,ndiye Rais aliyekosa imani na viongozi wa Chama chake kiasi cha KUMTUMA MWANAE RIDHI akiambatana na viongozi wa UVCCM na baadhi ya viongozi wa serikali za wanafunzi katika vyuo vikuu vya Tanzania kumtafutia wadhamini wa Urais!
 
NDIO RAIS WA KWANZA KUTUHUMIWA KWENDA KWENYE MATIBABU NG'AMBO yakubadilisha damu akidai kwenda kwenye ziara za kuomba omba.
 
ndio raisi wa wakanza Kanisa kuonesha waziwazi kutomuunga mkono
duh Lol!
 
wastage of time and resources. kama ni muajiriwa wa serikali na unadai 315000 wakati hamna lolote unalofanya zaidi ya kuandika ujinga huu, ni aibu.

namsapoti kwa aliyoandika. Kwani si kweli hayo yote yanamhusu kikwete?
 
Ndie rais wa kwanza anaechukulia wingi wa magari kama kipimo cha maisha bora!
 
ndie rais wa kwanza wa Jamuhuri ya Tanzania anaelindwa na nguvu za Giza.
 
Jee kuhusu mgombea wa kwanza wa urais kuanguka bafuni, sijui alikuwa akifanya ile ya watu waleeeeeeeeeeeeeee

heee heeeeeeeeeeeee
 
ndiye raisi wa kwanza aliyesema watoto wadogo wa shule kupata mimba ni kiherehere chao....
 
Rais wa kwanza anayeshiriki sana kwenye mazishi kuliko shughuli zingine za umma.
 
Jee kuhusu mgombea wa kwanza wa urais kuanguka bafuni, sijui alikuwa akifanya ile ya watu waleeeeeeeeeeeeeee

heee heeeeeeeeeeeee
kumbe unaongea Mgombea tena asie Rais tayari, kali zaidi mkapa na mkewe woote walianguka bafuni.
 
Back
Top Bottom