Guinea: Watu 10 wauawa kwenye ghasia baada ya uchaguzi

Mtaongea lugha zote ila msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu

Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania

Tanzania hatutaki ushoga,
Wewe na genge lenu ndo wasaliti wa nchi hii.
Pengine si wasaliti bali ni majasusi , tutawang'amua siku moja.
 
Chadema mtajuta kusimamisha msaliti wa Nchi Lissu apeperushe bendera ya Chadema atapigiwa kura na robert tu

Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Wewe na genge lenu ndo wasaliti wa nchi hii.
Pengine si wasaliti bali ni majasusi , tutawang'amua siku moja.
 
Chadema mtajuta kusimamisha msaliti wa Nchi Lissu apeperushe bendera ya Chadema atapigiwa kura na robert tu

Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Mimi siwezi kuwa chadema wala kujiunga na chama chochote cha siasa.
Lakini kumng'amua muovu siyo lazima uwe chadema.
Mwovu yeyote anachukia mkiongelea haki. Ndio wewe.
 
Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Mimi siwezi kuwa chadema wala kujiunga na chama chochote cha siasa.
Lakiki kumng'amua muovu siyo lazima uwe chadema.
Mwovu yeyote anachukia mkiongelea haki. Ndio wewe.
 
Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Waou na walevi utawatambua tu , kwani huharibu mipango yote ya amani na hutukuza ukatili na unyama.
 
Mkatili ni yule Msaliti wa Nchi anayetumiwa na Mabeberu kutoka ubeligiji
Wewe usiye mtanzania unataka kutuharibia nchi yetu.
Unaleta tabia zako za ukatili ,uuaji ulevi na umalaya katika nchi yetu yenye tabia za undugu na upendo.
 
Asiyemtanzania ni ndugu yenu anayetumiwa na Mabeberu

Lazima tuwanyooshe October

Tanzania hatutaki ushoga,
Wewe usiye mtanzania unataka kutuharibia nchi yetu.
Unaleta tabia zako za ukatili ,uuaji ulevi na umalaya katika nchi yetu yenye tabia za undugu na upendo.
 
Wananchi 8 na polisi wawili wameuawa katika mji wa Conakry, #Guinea baada ya kutokea rabsha baada ya matokeo ya uchaguzi yaliyotangazwa kuwa Alpha Conde ameshinda Urais

Watu wengi wamejeruhiwa kwenye ghasia hizo za kupinga kwa matokeo ambazo zinafanywa na vijana wa vyama vya upinzani nchini humo

Rais Conde anashika madaraka hayo kwa muhula wa tatu baada ya kubadili katiba iliyokuwa inataka Rais akae madarakani mihula miwili tu

===

Ten killed in Guinea’s post-election violence​

Deadly clashes between security forces and opposition supporters occur in Conakry after a tense presidential vote.

Eight civilians and two policemen were killed in Guinea’s capital Conakry in clashes between security forces and opposition supporters after a tense presidential election with results showing President Alpha Conde in the lead.

Guinea’s security ministry announced the death toll on Wednesday following last weekend’s vote.

“This strategy of chaos [was] orchestrated to jeopardise the elections of October 18,” the ministry said in a statement, adding numerous people were wounded in the unrest, without providing a specific figure.

Opposition supporters burned barricades in the streets on Wednesday after initial results showed Conde ahead in vote-counting.

“At least three people died today [Wednesday] that I saw with my own eyes … and about 10 others were wounded,” Mamadou Keganan Doumbouya, a security official, told AFP news agency.

Hadjiratou Barry, a resident of an area where clashes were taking place, also said her brother had been shot dead. A local doctor, who declined to be named, said he received two dead bodies and nine injured people at his clinic.

Conakry barricades​

Supporters of Conde’s main rival, Cellou Dalein Diallo, set alight piles of old furniture and burned tyres in some opposition neighbourhoods of Conakry. Police dispersed protesters with tear gas.

“Clashes broke out on the Prince’s Road. A policeman was killed,” Security Minister Damantang Albert Camara told Reuters news agency, referring to a major thoroughfare in the capital that runs through opposition strongholds.

Diallo has claimed victory in the vote based on his campaign’s tallies.

The push for a third term for Conde, 82, has sparked repeated protests over the past year, resulting in dozens of deaths. He says a constitutional referendum in March reset his two-term limit; his opponents say he is breaking the law by holding onto power.

In a social media post, Conde on Wednesday appealed for “calm and serenity while awaiting the outcome of the electoral process”.
Hizi mambo zinatokea Africa ttu. Yaani uchaguzi umekuwa Vita.
 
Asiyemtanzania ni ndugu yenu anayetumiwa na Mabeberu

Lazima tuwanyooshe October

Tanzania hatutaki ushoga,
Ni kweli tz hatutaki mashoga, nyie ndio mnaendelea kuwafuga kwasababu mmewajaza huko kwenu chamani.
 
Back
Top Bottom