Guinea: Watu 10 wauawa kwenye ghasia baada ya uchaguzi

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,000
9,861
Wananchi 8 na polisi wawili wameuawa katika mji wa Conakry, #Guinea baada ya kutokea rabsha baada ya matokeo ya uchaguzi yaliyotangazwa kuwa Alpha Conde ameshinda Urais

Watu wengi wamejeruhiwa kwenye ghasia hizo za kupinga kwa matokeo ambazo zinafanywa na vijana wa vyama vya upinzani nchini humo

Rais Conde anashika madaraka hayo kwa muhula wa tatu baada ya kubadili katiba iliyokuwa inataka Rais akae madarakani mihula miwili tu

===

Ten killed in Guinea’s post-election violence​

Deadly clashes between security forces and opposition supporters occur in Conakry after a tense presidential vote.

Eight civilians and two policemen were killed in Guinea’s capital Conakry in clashes between security forces and opposition supporters after a tense presidential election with results showing President Alpha Conde in the lead.

Guinea’s security ministry announced the death toll on Wednesday following last weekend’s vote.

“This strategy of chaos [was] orchestrated to jeopardise the elections of October 18,” the ministry said in a statement, adding numerous people were wounded in the unrest, without providing a specific figure.

Opposition supporters burned barricades in the streets on Wednesday after initial results showed Conde ahead in vote-counting.

“At least three people died today [Wednesday] that I saw with my own eyes … and about 10 others were wounded,” Mamadou Keganan Doumbouya, a security official, told AFP news agency.

Hadjiratou Barry, a resident of an area where clashes were taking place, also said her brother had been shot dead. A local doctor, who declined to be named, said he received two dead bodies and nine injured people at his clinic.

Conakry barricades​

Supporters of Conde’s main rival, Cellou Dalein Diallo, set alight piles of old furniture and burned tyres in some opposition neighbourhoods of Conakry. Police dispersed protesters with tear gas.

“Clashes broke out on the Prince’s Road. A policeman was killed,” Security Minister Damantang Albert Camara told Reuters news agency, referring to a major thoroughfare in the capital that runs through opposition strongholds.

Diallo has claimed victory in the vote based on his campaign’s tallies.

The push for a third term for Conde, 82, has sparked repeated protests over the past year, resulting in dozens of deaths. He says a constitutional referendum in March reset his two-term limit; his opponents say he is breaking the law by holding onto power.

In a social media post, Conde on Wednesday appealed for “calm and serenity while awaiting the outcome of the electoral process”.
 
Inatia mashaka sana kuna mtu ametoka ubeligiji kuja kutetea maslahi ya Mabeberu
Bora huyo kuna mtu siyo raia kabisa ila ni kiongozi mkubwa wa Tanzania. Kila anachofanya ni kwa maslahi ya nchi jirani
 
Mtaongea lugha zote ila msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu

Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania

Tanzania hatutaki ushoga,
Shoga ndiyo huyo kiongozi mhamiaji ametuletea. Hebu angalia Waziri wake alichosema
Screenshot_2020-10-19-15-59-17-761_com.android.chrome.jpg


Cheki tena na hapa ni mambo ya kuhamasisha kulana kisamvu cha kopo mwanzo mwisho. Hizi siyo tabia za Watanzania
Screenshot_2020-10-19-16-27-11-396_com.android.chrome.jpg
 
Wananchi 8 na polisi wawili wameuawa katika mji wa Conakry, #Guinea baada ya kutokea rabsha baada ya matokeo ya uchaguzi yaliyotangazwa kuwa Alpha Conde ameshinda Urais

Watu wengi wamejeruhiwa kwenye ghasia hizo za kupinga kwa matokeo ambazo zinafanywa na vijana wa vyama vya upinzani nchini humo

Rais Conde anashika madaraka hayo kwa muhula wa tatu baada ya kubadili katiba iliyokuwa inataka Rais akae madarakani mihula miwili tu

===

Ten killed in Guinea’s post-election violence​

Deadly clashes between security forces and opposition supporters occur in Conakry after a tense presidential vote.

Eight civilians and two policemen were killed in Guinea’s capital Conakry in clashes between security forces and opposition supporters after a tense presidential election with results showing President Alpha Conde in the lead.

Guinea’s security ministry announced the death toll on Wednesday following last weekend’s vote.

“This strategy of chaos [was] orchestrated to jeopardise the elections of October 18,” the ministry said in a statement, adding numerous people were wounded in the unrest, without providing a specific figure.

Opposition supporters burned barricades in the streets on Wednesday after initial results showed Conde ahead in vote-counting.

“At least three people died today [Wednesday] that I saw with my own eyes … and about 10 others were wounded,” Mamadou Keganan Doumbouya, a security official, told AFP news agency.

Hadjiratou Barry, a resident of an area where clashes were taking place, also said her brother had been shot dead. A local doctor, who declined to be named, said he received two dead bodies and nine injured people at his clinic.

Conakry barricades​

Supporters of Conde’s main rival, Cellou Dalein Diallo, set alight piles of old furniture and burned tyres in some opposition neighbourhoods of Conakry. Police dispersed protesters with tear gas.

“Clashes broke out on the Prince’s Road. A policeman was killed,” Security Minister Damantang Albert Camara told Reuters news agency, referring to a major thoroughfare in the capital that runs through opposition strongholds.

Diallo has claimed victory in the vote based on his campaign’s tallies.

The push for a third term for Conde, 82, has sparked repeated protests over the past year, resulting in dozens of deaths. He says a constitutional referendum in March reset his two-term limit; his opponents say he is breaking the law by holding onto power.

In a social media post, Conde on Wednesday appealed for “calm and serenity while awaiting the outcome of the electoral process”.
Naona pia guinea ya nchi ya kusadikika nayo inakuja maana ni hivyo hivyo kama guinea orijino.
 
Huo ni uzushi wa Chadema, akiyewatetea mashoga ni lissu
Umelewa Safari asubuhi? Huyo ni Waziri wa Serikali yako anasema mashoga wapo free kubanduana. Lisu wala hakuwa Tz wakati mnahamasisha hayo mambo.
 
andamana hata chumbani kwako tutakufikia

Ccm inapendwa na Watanzania na itashinda kwa kishindo?

Kama walioshindwa huwa wanaandamana basi go ahead
Watanzania hawahawa ambao mmekuwa mkiwateka, mkiwaua na kuwabambikia kesi?
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom