guest nyengine bwana......

guest nyengine bwana......

Utafunga goli la kwanza tu lile la ubishi lakini baada ya hapo weeeeeeee
 
Mitaa ya njombe hii kama huna cheti cha ndoa hapo unalala nje mkuu
 
Mmh...huyo mwenye guest nae!! kuokoka ni lazima imeandikwa wapi...mbona yeye hajaokoka? angekuwa kaokoka asingejenga jumba la kufanyia ngono..# Nonsense.
Nani aliyekudanganya kila Gesti ni nyumba ya kufanyia ngono?

Kisu kinatengenezwa kwa matumizi halali ya nyumbani na sehemu nyinginezo, lakini mbona kuna watu wanatumia kuua watu? Kwahiyo kisu ni haramu kisitumiwe na walokole?
 
Kuna moja ipo korogwe ina itwa NATIA GUEST HOUSE.
 
Weweeee tusitake kudanganyana hapa...ni 2 kati ya 10 ndo wanaingia guest house kwasababu ya uchovu wa safari au vinginevyo....waliobakia 8 ni ngono tu!!!

Kweli kabisa
 
Back
Top Bottom