mrangi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 96,098 Reaction score 137,353 May 21, 2018 #21 Ngoja nipite... Ova
Shark JF-Expert Member Joined Jan 25, 2010 Posts 29,977 Reaction score 30,167 May 21, 2018 #22 misasa said: Vipo saba mkuu. Click to expand... Altenatively akakope Bank aweke Bondi hiyo Guest House
misasa said: Vipo saba mkuu. Click to expand... Altenatively akakope Bank aweke Bondi hiyo Guest House
zunya JF-Expert Member Joined Sep 2, 2014 Posts 1,529 Reaction score 1,073 May 21, 2018 #23 Hiyo guest imejificha ficha au??
misasa JF-Expert Member Joined Feb 5, 2014 Posts 17,739 Reaction score 14,487 May 21, 2018 Thread starter #24 zunya said: Hiyo guest imejificha ficha au?? Click to expand... Ipo mtaani gari inafika hadi kwenye iyo guest ila uswahilini na imejificha na uchochoro kwa nyuma inajulikana sana kutoka stand ya boda boda n bajaj hadi hapo elfu moja tu.
zunya said: Hiyo guest imejificha ficha au?? Click to expand... Ipo mtaani gari inafika hadi kwenye iyo guest ila uswahilini na imejificha na uchochoro kwa nyuma inajulikana sana kutoka stand ya boda boda n bajaj hadi hapo elfu moja tu.
misasa JF-Expert Member Joined Feb 5, 2014 Posts 17,739 Reaction score 14,487 May 21, 2018 Thread starter #25 Shark said: Altenatively akakope Bank aweke Bondi hiyo Guest House Click to expand... Huko ndio wanamdai ndio anataka aongeze akamalizane nao.
Shark said: Altenatively akakope Bank aweke Bondi hiyo Guest House Click to expand... Huko ndio wanamdai ndio anataka aongeze akamalizane nao.
Ulongupanjala JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 8,523 Reaction score 14,002 May 21, 2018 #26 Sema hiyo guest ni ya short time,sio guest za wenyeji.! Ina Tv,weka picha na jina la guest house?!))
misasa JF-Expert Member Joined Feb 5, 2014 Posts 17,739 Reaction score 14,487 May 21, 2018 Thread starter #27 Emilias G said: Sema hiyo guest ni ya short time,sio guest za wenyeji.! Ina Tv,weka picha na jina la guest house?!)) Click to expand... Unahisi guest za mjini especially Dar wanaotumia ni wageni?
Emilias G said: Sema hiyo guest ni ya short time,sio guest za wenyeji.! Ina Tv,weka picha na jina la guest house?!)) Click to expand... Unahisi guest za mjini especially Dar wanaotumia ni wageni?
Ulongupanjala JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 8,523 Reaction score 14,002 May 21, 2018 #28 Wageni una maanisha foreigners au wageni nje ya TMK au Dar?
Jephta2003 JF-Expert Member Joined Feb 27, 2008 Posts 6,733 Reaction score 6,635 May 21, 2018 #29 Shark said: Altenatively akakope Bank aweke Bondi hiyo Guest House Click to expand... Huko bank ndio anadaiwa
Shark said: Altenatively akakope Bank aweke Bondi hiyo Guest House Click to expand... Huko bank ndio anadaiwa