Guest Dar kwa vyumba vya kawaida sh ngapi?

Guest Dar kwa vyumba vya kawaida sh ngapi?

Rombo Green View Hotel,Shekilango ubungo ni mahali salama kwako na rahisi kufika popote ndani ya Dar. Kuanzia Tshs 40,000/= kwa siku
 
15k na 20k kama hutaki makuu unapata sehemu nzuri.Kama unataka bei ya kati 30k unapata hotel unalala gorofani kabisa.
 
Habari zenu ndugu ni wapi naweza pata hizo guest house za 15000...
Kama inawezekana naombeni msaada wa jina la hiyo guest...
 
Back
Top Bottom