ERIC JOSEPH
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 567
- 55
Ndugu zangu naomba ushauli nina kiwanja sasa bado sijapata jibu je nijenge nyumba ya kuishi au nijenge mradi wa gest.japo bado naishi kwenye nyumba ya familia.naomba kuwasilisha hoja
Mithread mingine bwana!! Hicho kiwanja kipo wapi? una shiringi ngapi mfukoni? alafu gest ni nini? aaaaaaagh.Ndugu zangu naomba ushauli nina kiwanja sasa bado sijapata jibu je nijenge nyumba ya kuishi au nijenge mradi wa gest.japo bado naishi kwenye nyumba ya familia.naomba kuwasilisha hoja
Ndugu zangu naomba ushauli nina kiwanja sasa bado sijapata jibu je nijenge nyumba ya kuishi au nijenge mradi wa gest.japo bado naishi kwenye nyumba ya familia.naomba kuwasilisha hoja
Kwani ulivyokuwa unakinunua ulituuliza? iweje leo uje kutuuliza matumizi? Jenga mabanda ya nguruwe
Mithread mingine bwana!! Hicho kiwanja kipo wapi? una shiringi ngapi mfukoni? alafu gest ni nini? aaaaaaagh.
Mkuu inategemeana na location ya hicho kiwanja chako. Guest inalipa kwani hatukawii kuja kutenda dhambi humo ila pia kama upo karibu na learning institute jenga hostel. Payback period ya residental house is too long.
mmmh!amekoma msamehe!!Kwani ulivyokuwa unakinunua ulituuliza? iweje leo uje kutuuliza matumizi? Jenga mabanda ya nguruwe