Gues who?

Star

JF-Expert Member
Dec 5, 2007
461
3
Do you know the guy?

3863d1237073895-gues-who-gues.jpg
 

Attachments

  • gues.jpg
    gues.jpg
    34.6 KB · Views: 195
????????????
your quotation is misjudging the words of the sacred book.........upanga maana yake ni ukali wa neno la mungu kupamba na mafisadi, waharibifu,madhalimu wasiotaka haki,na waovu wanaomuasi Mungu ambao Yesu anamaanisha hakuja kuwapa amani na afueni ya kuendelea na madhambi hayo
 
........as for the picture it must be one of the fissads in tz who is hiding his face not to be apprehanded.
 
This is the guy with his fellow fisadi... haha

3865d1237078882-gues-who-bush.jpg
 

Attachments

  • Bush.jpg
    Bush.jpg
    44.9 KB · Views: 169
your quotation is misjudging the words of the sacred book.........upanga maana yake ni ukali wa neno la mungu kupamba na mafisadi, waharibifu,madhalimu wasiotaka haki,na waovu wanaomuasi Mungu ambao Yesu anamaanisha hakuja kuwapa amani na afueni ya kuendelea na madhambi hayo

Ahsante bwana na mimi nakubali kwa ufahamu huo. Nabii wa Mwenye ez Mungu, Yesu hakukusudia upanga kwa maana awe anauwa watu. Lakini watu wengine wana fahamu tofauti maana wanafikiria kuwa aliposema sijaja kuleta Amani ndio hakuja kuleta amani.

Ni lazima wafahamu kuwa Yesu na Muhammad (Rehema na Amani za Mwenye ez Mungu juu yao) hawakuja kuondoa amani duniani bali ni kuileta, kuondosha dhulma, kupigana na dhulma, kupigana na maadui wanaojaribu kuondosha Amani katika Ulimwengu.

Ahsante sana
 
Bush amedata


attachment.php

















.
 

Attachments

  • bushh.gif
    bushh.gif
    47.6 KB · Views: 117

Similar Discussions

Back
Top Bottom