RAKI BIG
JF-Expert Member
- Apr 26, 2020
- 394
- 456
VIWANJANI LEO
"Sisi kazi yetu kubwa ni kuhakikisha klabu yetu inaweza kusimama kwa miguu yake miwili, hilo nataka ufahamu na watu wote wafahamu.
"Hatuna nia ya kufanya chochote, transformation yoyote inapofanyika inawahusu wanachama zaidi, ndio maana kipengele cha kwanza ambacho ni muhimu kuliko vyote ni kitu kinachoitwa fan engagement.
"Ni mahusiano kati ya wanachama na klabu yao, hakuna kipengele kinachozungumzia uwekezaji au ununuaji wa klabu,
"Klabu yetu inapaswa kujihusisha asilimia mia na mashabiki wake, ndio maana kama unakumbuka slogan yetu sisi Wanayanga ni kwamba sisi wenyewe wapenzi na wanachama ndio wawekezaji wa kwanza.
"Kwa hiyo tunaenda kutengeneza mazingira ambayo mwanachama atajihusisha na klabu yake kwa asilimia mia moja ili zile gharama za uendeshaji mwanachama aweze kuzichangia kupitia ada ya uanachama.
"Hakuna mahali pameandikwa hiyo pesa ni deni au tumeiazima klabu ya Yanga kufanya mabadiliko, tukumbuke mabadiliko ni malengo ya Mwenyekiti wa Yanga kipindi anagombea
"Gharama hizi ambazo tunazilipa tunafanya kwa nia njema." - Eng Hersi Said, mkurugenzi wa uwekezaji GSM
"Sisi kazi yetu kubwa ni kuhakikisha klabu yetu inaweza kusimama kwa miguu yake miwili, hilo nataka ufahamu na watu wote wafahamu.
"Hatuna nia ya kufanya chochote, transformation yoyote inapofanyika inawahusu wanachama zaidi, ndio maana kipengele cha kwanza ambacho ni muhimu kuliko vyote ni kitu kinachoitwa fan engagement.
"Ni mahusiano kati ya wanachama na klabu yao, hakuna kipengele kinachozungumzia uwekezaji au ununuaji wa klabu,
"Klabu yetu inapaswa kujihusisha asilimia mia na mashabiki wake, ndio maana kama unakumbuka slogan yetu sisi Wanayanga ni kwamba sisi wenyewe wapenzi na wanachama ndio wawekezaji wa kwanza.
"Kwa hiyo tunaenda kutengeneza mazingira ambayo mwanachama atajihusisha na klabu yake kwa asilimia mia moja ili zile gharama za uendeshaji mwanachama aweze kuzichangia kupitia ada ya uanachama.
"Hakuna mahali pameandikwa hiyo pesa ni deni au tumeiazima klabu ya Yanga kufanya mabadiliko, tukumbuke mabadiliko ni malengo ya Mwenyekiti wa Yanga kipindi anagombea
"Gharama hizi ambazo tunazilipa tunafanya kwa nia njema." - Eng Hersi Said, mkurugenzi wa uwekezaji GSM