GSM waliishusha Majimaji FC daraja 2017

Mo yeye ilimshinda African Lyon na singida au historia imekupitia pembeni!
Oyaaa We Jamaa watuvunja mbavu aisee! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Kwamba alikimbia huko baada ya wakulungwa kukataa kuwekewa matangazo ya sabuni za gesti kwenye jezi zao.
 
Hao GSM walioishusha Majimaji walikuwa wanacheza Position gani uwanjani ?
 
Hiyo African lyon na Singida United mpaka leo hazijapanda daraja kwasababu ya Mo dewji

Au wewe una maoni tofauti ndugu mwandishi?
 
Hiyo African lyon na Singida United mpaka leo hazijapanda daraja kwasababu ya Mo dewji

Au wewe una maoni tofauti ndugu mwandishi?
anzishia uzi wake tutakujibu,mbona huiongelei suala la kukwepa kodi na kubadili jina
 
OKW BOBAN SUNZU kuna habari njema huku
Jezi ya makolo haifai hata kufutia mavi

62EF3D29-84F8-45C1-9CB9-6D6500296839.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom