Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,800
- 24,431
Lilikuwa na timu nne tu, halafu ufaulu wa robo fainali unatokana na michezo miwili ti wakati groups nyingine zilicheza michezo minne minne tane mingi ikiwa ni naili baiting kama ule wa Uganda na RSA lakini hawa wa group D wanapita klirahisi tu; kwa nini?