Greencard results out..

Greencard results out..

Mijadala kama hii inajaza sana wapiga boksi. Wanajua wengine wanakuja kutaabika kama wao. Kweli ule msemo wa "misery loves company" ni wa kweli.
 
Mijadala kama hii inajaza sana wapiga boksi. Wanajua wengine wanakuja kutaabika kama wao. Kweli ule msemo wa "misery loves company" ni wa kweli.

ha haa haaa umeanza!!
 
Sidhani kama kuna haja ya kubishana nilichokiandika nina uhakika nacho mpaka visa ulikuwa unalipia labda mwaka huu wamebadili kwa wale waliobahatika kupata greencard miaka miwili au mitatu ya nyuma watanisaidia.


yah,wamebadili!
 
Mijadala kama hii inajaza sana wapiga boksi. Wanajua wengine wanakuja kutaabika kama wao. Kweli ule msemo wa "misery loves company" ni wa kweli.


..c mbaya kujaribu...! Kuna wanaoenda na wanafanikiwa...
 
Mhhh! ulishawahi kushinda nini Mkuu Ritz au ni mtu wako wa karibu aliwahi kubahatika? Kila la heri kwa waliobahatika muanze kududulinza vijisenti vya kuanzia maisha.
We jamaa ni mkongwe wa hii forum
 
When i said ulaya i meant nchi za nje.. Marekani europe kote ni ulaya.. Greencard ya nini tulieni bongo.. Wenzio wamarekani wanakimbia huko wanakuja kula nchi yetu hapa
Mwamba unaumia nini kulazimisha mtu afanye utakavyo,?
 
Back
Top Bottom