kamtu33
JF-Expert Member
- Mar 15, 2012
- 998
- 409
Wana jamvi leo nimesafili na basi la Green star express kutoka Mwanza kwenda Dar imeharibika hapa njia panda kwenda Isaka (Tinde) hakuna msaada wowote wala wenye gari hawana ushirikiano na sisi abilia sasa ni tabu tupu hata hatuelewi tunafanyaje
My take: haya magari nilisikia ni ya bb kiroboto sasa wanasema mkurugenzi hapokei simu hebu tusaidieni mwenye contact za owner wa basi hili pls
My take: haya magari nilisikia ni ya bb kiroboto sasa wanasema mkurugenzi hapokei simu hebu tusaidieni mwenye contact za owner wa basi hili pls