Green star express haifai kabisa

Green star express haifai kabisa

always,natumia Princes Muro,dar>mwanza,fasta tu,by the way,hiyo green star ni yutong kama zlivyo muro,al saedy nk,zkianza kuchoka bora usafiri na pkpk yako.

Hoja si uchakavu wa gari bali ukosefu wa ushirikiano toka kwa mwenye mali.
 
Hoja si uchakavu wa gari bali ukosefu wa ushirikiano toka kwa mwenye mali.

ushirikiano toka kwa mwenye mali ni kuhakikisha gari inatengenezwa,kwani kwenye gari hakukuwepo na fundi?hapo ishu ni ubora duni wa gari yenyewe..
 
Pole sana ndugu yangu njia hiyo Reina tours Ni basi ambalo halina mpinzani
 
Mbona nasikia hayo ndio mabasi bab kubwa ya njia ya mwanza-dar.. Na nauli zake yanamzidi fast jet maradufu
Hiyo ni historia. alipokuwa yanaanza (wakati yapo mapya) ndiyo ilikuwa hivyo. Siku yamechoka hakuna mfano
 
Pole mkuu kamata fuso hiyo ndo imetoka
 
mkuu next time panda Zuberi 38,000 tsh Mwanza-dar Hiyo ni 2 by 2, na 35,000 tsh 3 by 2,..dar unaingia saa tatu na nusu usiku..poa kabisa..sasa unato elfu sitini unapanda huo utumbo au bodi limekuvutia,?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom