Green Card Lottery

Rainbow

Member
May 2, 2008
98
2
Wandugu,
Kuna mtanzania yeyote humu aliyepokea majibu ya green card lottery (DV-2009) iliyochezwa mwaka jana? wamesema majibu yametumwa kwa walioshinda, kati ya may na july, mwaka huu.
 
Wandugu,
Kuna mtanzania yeyote humu aliyepokea majibu ya green card lottery (DV-2009) iliyochezwa mwaka jana? wamesema majibu yametumwa kwa walioshinda, kati ya may na july, mwaka huu.

Nilipata notification letter April 08 mimi. Nilicheza DV-2009
 
Ni kweli, miye nimepokea wiki ya kwanza ya may. Kutokana na schedule za shughuri hiyo pale Kentucky kila mtu aliyeshinda anapashwa kuwa amepokea barua yake kabla ya mwisho wa mwezi wa June 2008 na Visa zitaanza kutolewa Oct 2008 thru sept 2009.
 
Barua za kufahamisha kama umeshinda huwa zinachukua muda kufika. Nakumbuka ya kwangu niliipata mwezi wa 8 mwaka jana. Uwe na subira mjomba.

Bwahahahahahahaa....kumbe na wewe una kijani eeeh...sasa si useme ukweli tu uliipataje (kwa kuolewa)......bwahahahahahahahahahaaaaaa
 
Nilipata notification letter April 08 mimi. Nilicheza DV-2009

Kupata letter of notification from green card lottery siyo guarantee kwamba utapata visa/green card. Hiyo ni only first step on your way to (possibly) being issued a green card. Kuna vigezo kadhaa ambavyo ni decisive as to whether you'll eventually qualify for a green card, kama vile rank number, results of medical check-up, criminal record(s), financial ability na level of education. One could "win" the green card lottery but ultimately become disqualified because of failure to meet any of these crucial requirements.
 

You just had to let everybody know that you won a green card eeeh? Una akili ya kitoto kweli wewe. Sasa unamringishia nani hiyo green card? Mwenyewe unaona mali hiyo green card....Lol...Grow up....badala ya kufanya mambo ya maana kwenye maisha yako unacheza mi bahati nasibu kwenye intaneti. Go figure.....
 

Heri mimi Sijasema............CHUBWI
 

Hayo maneno ya mkosaji na hayasaidii hata chembe kujibu swala la mtoa hoja. Kama unakerwa kwa sababu zako binafsi usugue.
 
Well noted
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…