USITAG MTU YEYOTE, MAANA NI KAMA UNAWATENGA WENGINE,Baba Swalehe, Ochumeraa, mangonifera indica, muxa, Zoe Laville, BRB, sheremaya, kinjekitile70, joefrancy, kulubule, kipapi, mgonjwa, redcarpet, Root, Heaven Sent, Khan, isma isma, griffin griffith, Zeus1, Mbushuu, le zombie, Faljarah Mahsen, Shadeeya, Blaki Womani, ruby garnet, Kurunzi, koncho77, chinchilla coat, JAXPAROW95, residentura, SAUSTINE CHARLES, kamituga, evonik, Aganza Maisha, tycoon, cadey, Liparamba, Chumchang Changchum, MrProsecutor, DEOD 360, Old bwoy, msakaa jr
Huu utaratibu ni kwa wale waliomba mkuu, si wote wapo instant kiasi hicho na kama ukifuatilia kila mara niwekapo uzi naongeza majina kwa walioomba au niliowasahau. Kusubscribe ni njia nzuri ila huwezi mshikilia mtu afanye hivyo... Pamoja sanaUSITAG MTU YEYOTE, MAANA NI KAMA UNAWATENGA WENGINE,
KAMA LAZIMA HAO UNAOWATAGI WAONE WATUMIE INBOX.
MBONA SIE WENGINE TUNA-SUBSCRIBE UZI ILI KUFUATILIA TUKIO??

Teh 😅asitag mtu yeyote otherwise tumianeni inbox
Thanks much bro
ISHAISHAMzeee. Unitag
Kwa maana hiyo hii tayari ilishakuwa perfect crime kabla ya njaa kumpanda O'Keefe kichwani na kuchomolea wenzake battery na kusaidia FBI na mahakama kuwatia nguvuni wezi wote na cha kushangaza katika kesi hii fedha zilizopatikana ni $58k tu kati ya $2.7m zilizoibwa!.
Ni kweli mkuu kwa kila unachofanya maishani nidhamu ni siri ya kufanikiwa pia uvumilivu kwenye ups and down zozote zile... Sure wangetoboa sema panya alikula wire..Hawa jamaa wana akili sana,FBI nao kumbe sio chochote kwao,maana walishindwa hata kupata ABC
Nimejifunza kwamba nidhamu na self control ni muhimu sana Katika maisha.
Mipango ya kuiba miaka 2+miaka 6 ya kusubiri=miaka 8,ni watu wachache sana wenye kujizuia kutumia pesa unaziona na una matatizo kibao,hata O'Keefe nadhani isingekuwa kubanwa madeni wangetoboa.
Hongera mleta mada uko vizuri sana kiuandishi.
Comrade ungetuambia wadau unabadili jinaSio kwema nimefanya trophy point heist
Wananitafuta humu ndani ndo maana nmebadili jina la id
Haijajulikana nani alizitafuna mkuu au ziliyeya wapi
Ilikuwa balaa Pino na Big Joe kuna namna walifanya mkuu si bureNapata hisia kuna mmoja au wawili aliwazunguka kachora mchoro upya kawaibia wezi, kuficha fedha miaka sita ni uzwazwa tu ndo mana siku zimekaribia wameanza sarakasi.... na hapo zilibaki siku tu mgao uive wangeuana so ni bora walivyodakwa.