Grayson Nyakarungu amjibu Kadawi Lukas Limbu

Grayson Nyakarungu amjibu Kadawi Lukas Limbu

Dkt Kilembwe

Senior Member
Joined
Apr 25, 2015
Posts
154
Reaction score
102
Grayson M Nyakarungu

Sitaki kutajwa kwenye magazeti wala majukwaa, wala tv, mimi nilishakamirisha jukumu langu la uthubutu wa kuchukua hatua ya kuanzisha chama kipya, baada ya hapo tuliwakaribisha watu wengine na ninashukuru sana Mungu kwa kuona chama hiki kinasonga, nilishawapa baraka zote ndugu zangu hasa Profesa Kitila Mkumbo , kuendeleza chama kwa kasi zao zote.

Pamoja na mgogoro wa kiutendaji uliotokea kwa mimi kumpinga mtu asiye na quality za kuwa kiongozi katika ngazi fulani kubwa, lakini kwa sasa amechaguliwa na ndiye katibu wa chama kikatiba.

Nashangaa kuona gazeti fulani bado linanitajataja utadhani nililiomba linitetee au linisemee.

Mvutano ule niliuacha baada ya kugundua kuna chama kinafurahia mgogoro wa mimi na Samson Mwigamba , pia kikiitumia kama kete ya kujiimarisha na kuumiza wanasiasa kadhaa akiwemo kitila na Zitto bila huruma wala bila kukumbuka walipokitoa chama chao.

Baada ya kuona hayo niliacha kila kitu na kutoa baraka kwa professor Mkumbo, waendeleze chama na kumshauri Mzee Kadawi Lucas Limbu kuweka majeshi chini tusimame kama wamoja, Wakati CHADEMA ikiwafukuza akina Mwigamba walikuwa badoo wanadhani wataweza kupambana nao, lakini niliwapa warning kuwa hawataweza na waliniskiliza tukaungana.

ACT-Wazalendo IWE YA WOTE WATANZANIA, TUFUNDISHE WATANZANIA MAANA YA SIASA

NYAKARUNGU Jr
 
Already bought. . ! The funny thing is THE PRICE IS NOT COMPETITIVE
 
Huyu Nyakarungu ndie alikuwa kitu kimoja na KADAWI LUKAS Limbu ambaye Kwa sasa ameamua kuachana naye na kuwa mzalendo wa kweli.
 
Wasaliti wanasafari ndefu kutoka CHADEMA hadi ACT Tanzania,kutoka ACT Tanzania mpaka ACT wazalendo na bado wanazidi kusonga mbele,kila wanapokwenda hapafai.

Dhambi ya usaliti inaweza ikakufanya ukawa kichaa.
 
Grayson ndiyo yupi kati ya hawa?
 

Attachments

  • 1430330515760.jpg
    1430330515760.jpg
    104.9 KB · Views: 608
Wewe nimzalendo waukweli,chama kitakukumbuka siku zote nakupewa heshima ya uasisi wake siku zote.
 
Kwa hiyo baada ya kuchaguliwa ndo amepata hizo qualities alizozikosa awali?
NJAA MBAYA SANA. "Pamoja na mgogoro wa
kiutendaji uliotokea kwa mimi
kumpinga mtu asiye na quality
za kuwa kiongozi katika ngazi
fulani kubwa, lakini kwa sasa
amechaguliwa na ndiye katibu
wa chama kikatiba."
 
Wasaliti wanasafari ndefu kutoka CHADEMA hadi ACT Tanzania,kutoka ACT Tanzania mpaka ACT wazalendo na bado wanazidi kusonga mbele,kila wanapokwenda hapafai.

Dhambi ya usaliti inaweza ikakufanya ukawa kichaa.

Baadaye watakuwa ACT Tanganyika, kabla ya kuwa ACT Kigoma kabisa
 
Mpwa wangu Elli hebu pitia pande hizi.

Mpwa nimecheka sana. Nikaona haina tofauti na hii story hapa chini


KUFUMANIWA KUSIKIE TU. Jamaa kafumaniwa na mke wa mtu,akapigwa lakini akaweza kuchomoka uchi mpaka kwake....
MKE:Hee...kunani?mbona hivyo?
MUME:Majambazi mke wangu, wamenikamata,wameniibia kila kitu mpaka nguo na kunipiga.
MKE:Naona wamekuvalisha na condom...
MUME:Aaah..condomu nimenunua kujistiri baada ya kuona niko uchi kabisa.


Huyo jamaa kabaki nanihii tu sasa hivi......
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom