DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,652
- 2,642
Njaa ya Nyakarungu imepitiliza.
Mpwa nimecheka sana. Nikaona haina tofauti na hii story hapa chini
KUFUMANIWA KUSIKIE TU. Jamaa kafumaniwa na mke wa mtu,akapigwa lakini akaweza kuchomoka uchi mpaka kwake....
MKE:Hee...kunani?mbona hivyo?
MUME:Majambazi mke wangu, wamenikamata,wameniibia kila kitu mpaka nguo na kunipiga.
MKE:Naona wamekuvalisha na condom...
MUME:Aaah..condomu nimenunua kujistiri baada ya kuona niko uchi kabisa.
Huyo jamaa kabaki nanihii tu sasa hivi......
Already bought. . ! The funny thing is THE PRICE IS NOT COMPETITIVE
Grayson ndiyo yupi kati ya hawa?
Kwa hiyo njaa imemfanya akubali kuongozwa na kiongozi asiye na 'qualit'!
Wasaliti wanasafari ndefu kutoka CHADEMA hadi ACT Tanzania,kutoka ACT Tanzania mpaka ACT wazalendo na bado wanazidi kusonga mbele,kila wanapokwenda hapafai.
Dhambi ya usaliti inaweza ikakufanya ukawa kichaa.
Wachovu na suruali zao za fundi.Grayson ndiyo yupi kati ya hawa?