Echolima1
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 6,929
- 6,030
Magaidi waliokuwa wanatafutwa na Majeshi ya Israel kwa mauaji ya Oct 07,2023 hatimaye nao jana walipatikana na kuuwawa walipokuwa kwenye Gari lao.
Adiosamigo gallow bird zitto junior na 100 others Tunawasikia wakiongea lugha ya majini wengine lugha hiyo hatuijui kwa faida ya wengi tunaomba mtueleze magaidi hao walikuwa wanabwabwaja nini?
Apandacho mtu ndicho atakachokivuma
Adiosamigo gallow bird zitto junior na 100 others Tunawasikia wakiongea lugha ya majini wengine lugha hiyo hatuijui kwa faida ya wengi tunaomba mtueleze magaidi hao walikuwa wanabwabwaja nini?
Apandacho mtu ndicho atakachokivuma