Graphic: Madhara ya sigara ktk picha

Graphic: Madhara ya sigara ktk picha

Ndo maana nimeacha saivi ni maziwa kwa sana hizo picha zinakazia maarifa kweli sivuti tena "sigara ni hatari kwa afya yako"
 
Uvutaji wa sigara ni addiction,ni vigumu kuacha.Badala ya kutisha watu na mapicha, wape mbinu au njia za kuwawezesha kuacha.
 
kwa wale waombaji tuendelee kuombea hili tatizo,maanani tatizo la kijamii,Mungu awasaidie ndugu zetu.
 
Sigara niliweza kuacha, pombe niliweza kuacha, Bangi niliweza kuacha..lakini pale chini!!! mungu ninusuru na maradhi mabaya! nimeshindwa kabisa kuacha uzinzi ingawa najua madhara yake!
 
hakuna kitu mipicha ya kutengeneza hiyo..Yaani mimi na misigara misigara na mimi...kwanza umenikumbusha ngoja nikavute kidogo
 
duh, ushanikata ngoja nilale

Sigara ni hatari kwa maisha yako. Lakini sisi watu wa dini tunasema maisha yetu ni pre-determined. Yaani kila unachokifanya kimeandikwa na Mungu kuwa utakipata, hivyo lazima uvute maana umeandikiwa hivyo. Sisi hatuioni hiyo ratiba ya maisha yetu, lakini ipo. Hivyo kila unachokifanya sio wewe ni kuwa kimeandikwa hivyo kuwa kitatokea
 
ukitaka kuacha kuvuta, nunua sigara tisa na maziwa robo lita then dumbukiza sigara zako katika maziwa acha zilowe kwa dakika tatu, zianike then zikikauka vuta kutwa mara tatu kwa siku tatu.utacha tuu,
 

Mwili wa mvutaji sigara


Kila sekunde nane, mtu mmoja hufariki kutokana na utumizi wa tumbako. Imebainika kuwa saba kati ya wavutaji sigara kumi, huanza uraibu huu wakiwa wangali watoto. Wanaoendelea kuvuta sigara kwa muda mrefu hufupisha maisha yao kwa miaka 20 hadi 25. Sababu ni kuwa sigara ina kemikali zaidi ya 4,000 ambazo zina uwezo wa kudhhuru afya ya binadamu. Madhara yanayosababishwa na uvutaji sigara ni mengi na yamesambaa mwilini kote. Yafuatayo ni baadhi tu ya maradhi yatokanayo na utumiaji wa tumbako.

Yaliyomo




 
That's what it means when you see it written "ONYO, UVUTAJI WA SIGARA NI HATARI KWA AFYA YAKO".

yani chata iko pale chini watu hawaoni wana dhani sijui ni maneno gani yani..! ndio maana huwa jamaa wa mambo ya kupambana na tobacco duniani wanataka yale maneno yawe makubwa mno yani kila mtu awe anayaona vizuri halafu ile chata ya sigata husika iwe ndogo kama yale maneno yalivyo sasa hivi..!
 
Sigara niliweza kuacha, pombe niliweza kuacha, Bangi niliweza kuacha..lakini pale chini!!! mungu ninusuru na maradhi mabaya! nimeshindwa kabisa kuacha uzinzi ingawa najua madhara yake!

sasa wewe nadhani unataka tukutupie picha za jinsi watu walivyo haribika huko kwenye nanii..! ila sema tu mods watatu ban wengine hapa..! ila ngoja tuta ku-pm tu na utajionea mwenyewe huko na mkeo..!
 
Sigara ni sumu mbaya inayouzwa kwa mbwe mbwe nyingi. Watu wanadanganywa na makundi, nguvu ya matangazo n.k kisha kuanza kutumia sumu inatakayomganda mtu kipindi kingi cha maisha yake...
 
1479287210556.jpg
 
Sivuti Sigara lakini babu yangu anasema alianza kuvuta tangu akiwa na miaka 17 mpaka sasa anadunda na miaka yake 89
 
Back
Top Bottom