Ivuga pole sana kwa kukukata kiu, lakini tafadhali kama wewe ni mvutaji, basi fanya hiyo uliyovuta jana ndio iwe ya mwisho. Goso halina maana hata kidogo.
mh ngoja nizitupe hizi nilizokuwa nazo uwii, umetoa somo hapa aisee, asante sana,, maana nazivuta mno,, especially nikiwa na assignment ngumu! Hebu tupe mbinu za kusaidia kuacha kabisa mkuu!
Big up NM, hizo utakazosave kwenye feg wananunulie mabambino wako japo tray la mayai waongeze vitamini muilini badala ya kuwatajirisha Mangi na Mpemba.
Mmh, aisee. Ila hiki kitu kilichowekwa kwenye sigara mimi kinanishangaza sana. Tunaona haya mapicha mara kibao, lakini kesho kutoa mia kununua sigara sio tatizo kabisa...ipo kazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.