Graphic Design Mega Offer!

mafioso

Member
Joined
Jan 17, 2008
Posts
34
Reaction score
28
Ndugu wajasiriamali, habari zenu?

Nakuja mbele yenu leo kutangaza offer maalum kwa wajasiriamali mmoja mmoja. Mimi ni Graphic Designer ambaye nina uzoefu wa kutosha kwa kazi za designing katika ubora wa hali ya juu sana.

Napenda kuwatangazia offer maalum ya nusu bei kwa kipindi cha mwezi mmoja kutoka leo (tarehe 16 May, 2016) mpaka mwisho wa mwezi June kwa wote ambao wangependa kufanyiwa designing ya Logo, Business Card, na Letterhead kwa pamoja, yaani Corporate ID Package ambavyo vitakuwa vya muonekano sawa, rangi sawa, maalum kwa jili ya utambulisho wa biashara yako kwenye dunia ya leo ya ushindani.

Kumbuka, nazungumzia best quality designing, ambazo zinamshirikisha mteja toka mwanzo wa project hadi mwisho ili kuhakikisha mteja ameridhika kabisa. Gharama ya kudesign vitu hivi vitatu itakuwa ni 150,000/= (Shilingi za kitanzania Laki Moja na Hamsini tu).

Baadhi ya kazi zangu ambazo nimefanya ziko hapa (Purple Dots).

Pia nafanya designing mbali mbali ya vitu kama product labels, packages, CD/DVD Covers, Magazines, Company Profiles, Annual Reports, Identity Cards, Calendars, Flyers, Banners, Posters, Leaflets, Billboards etc. Vyote hivi ni kwa bei nafuu sana.

Kama uko interested tafadhali tuwasiliane ili tuzungumze, bei ni nafuu sana, na hatuwezi kushindwana kabisa, mimi naamini kwenye ubora wa kazi zaidi, maana kazi moja huzaa zingine nyingi, hivyo suala la bei lisiwaogopeshe kabisa. Njoo tuzungumze na tufanye kazi kwa ubora ule ule kwa hilohilo salio lako unaloliona dogo.

Simu/SMS/Whatsapp:
0717330817 / 0767330817
Email: info@technoboxcreative.co.tz
 


Hizi ni baadhi tu ya kazi zangu nilizofanya, ziko nyingi sana. Nyingine kama nilivyosema zinapatikana kwenye ukurasa wangu wa Facebook kwa jina la Purple Dots (Purple Dots).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…