Graduate ninayefanya kazi ya Ulinzi, niulize chochote kuhusu sekta hii

Mkuu naomba unipe ABC za kampuni ya intelligence securico Ltd,

-mshahara

-mashariti ya ajira zao
Wanazingua. Utahangaika bure tu.

Kama unahitaji kweli kazi ya ulinzi kwasasa nenda G4S, SGA, Warrior Insight au KK Security.

Kwa sasa hizo ndio kampuni zinazotrend hapa nchini.

Bandari zaidi ya 85% wamechukua KK.

Malindo karibu yote ya migodini wamechukua G4S.
 
Wanazingua. Utahangaika bure tu.

Kama unahitaji kweli kazi ya ulinzi kwasasa nenda G4S, SGA, Warrior Insight au KK Security.

Kwa sasa hizo ndio kampuni zinazotrend hapa nchini.

Bandari zaidi ya 85% wamechukua KK.

Malindo karibu yote ya migodini wamechukua G4S.
-wanazingua mishahara?
 
Mkuu mimi siyo polisi. Maana siyo ndoto yangu kufanya kazi kwenye kampuni zenye mazingira ya kijeshi.

Ila nina ndugu na marafiki ni maaskari ( Police na JWTZ ) wengine ni Classmates wangu wa O-Level na ndio hasa walionidhamini huku kwenye kampuni za ulinzi.

Hivyo nikileta taarifa yoyote inayohusu polisi au JWTZ ujue ni kweli 100%

Nikikuambia CDF Mabeyo kawapiga Standby askari wa JWTZ kwasababu ya tishio la maandamano ya mange kimambi amini hivyo.

Kwa maadili yao hawawezi kusema chochote wala kulalamika. Wanaambiwa hata kama unaonewa tekeleza kwanza then haki utadai baadae
Nimekusoma Mkuu
 
Wanazingua. Utahangaika bure tu.

Kama unahitaji kweli kazi ya ulinzi kwasasa nenda G4S, SGA, Warrior Insight au KK Security.

Kwa sasa hizo ndio kampuni zinazotrend hapa nchini.

Bandari zaidi ya 85% wamechukua KK.

Malindo karibu yote ya migodini wamechukua G4S.
Kaona neno intelligence akajua ni kama usalama
 
Mkuu mimi nina kero na nyie walinzi, mnaomba mpaka mnaboa.
Asikuone tu umepaki gari ukaingia ndani ya hiyo ofisi anayolinda, ukitoka tu lazima akupige mzinga.
 
Ni dharau ipi hususani kwa hao madada ambayo ulishafanyiwa na hautoisahau?
Ukiwa mlinzi tayari kuna watu wanakuchukulia kama "hujaenda shule, njaa kali, huna uwezo wowote wala dreams, huna altenatives na maisha yashakushinda" ndio maana unafanya kazi hiyo.

Hivyo sometimes kidada kinaweza kikawa eti kinakuongelesha kiingereza kwa dharau au ukikipa maelezo ya kufanya kinazingua !!!
 
Mkuu mimi nina kero na nyie walinzi, mnaomba mpaka mnaboa.
Asikuone tu umepaki gari ukaingia ndani ya hiyo ofisi anayolinda, ukitoka tu lazima akupige mzinga.
Mkuu suala ya kuomba omba ni kero pia hata kwa walinzi wengine wasio na tabia hiyo. Huwa inafikia kipindi walinzi wanaambizana mpaka "parade" kwasababu ni kama kutiana aibu.

Lakini binafsi kwa uzoefu nimeona tatizo hili linatokana na sababu zifuatazo:

Kwanza ni utamaduni wa kutoa "tip" uliojengeka hususani kwenye mahotel makubwa, bandarini na maofisini. Hivyo kuna walinzi tayari washaona kama kupewa "tip" ni lazima

Pili ni udogo wa mishahara wanayopewa. Imagine mlinzi wa "local company" analipwa Tsh 150,000/per month, ana mke, watoto, kulipa kodi, nauli, kula etc. Suluhisho ataona ni kuombaomba na kuosha magari ya watu.

Tatu ni mazingira, hususani maeneo ya bandari huku mpaka "staff" wanaomba na siyo kwamba wanalipwa kidogo. No. Ni mazoea tu. Na usipotoa utapata huduma kwa tabu sana.
 
MITAJI?

•••Kuna haja ya graduate kurudi shule kupata somo la nyongeza kuhusu mitaji!
Suluhisho la mtaji siyo kurudi shule. Suluhisho ni:

- Kuwa na mfuko maalumu wa serikali kuwasaidia vijana wajasiriamali ( Usilazimishe mpaka wawe kwenye kikundi ). Yaani kuwe na maeneo maalum kama ilivyo kwa EPZ yatakayokuwa "AN OKAY TO FAIL START UP ZONES" hivyo kwa kijana yoyote mwenye wazo lake awezeshwe alijaribu, likishindwa basi. Serikali pia itenge hata kupitia Halmashauri Wataalum wa biashara, kodi, sheria, IT n.k ili watoe ushauri bure.
Gharama za kusajili mambo yote, ziwe affordable. Kama kampuni zao changa zikianza kupata faida wapewe "grace period" ya miaka hata 10 kuhusu kodi.

Pili, kunaweza kuwa na "venture capitalists" kama mtu ana fedha na hana wazo, awekeze fedha yake kwa mwenye wazo in return for hisa. Simple
 
1. Nitakuwa na network nzuri na maarifa ya masuala ya biashara hususani kuhusu Import/Export hasa kwa upande trend na highly demanded products.

2. Naweza kupata pia kazi nzuri tu ya taaluma yangu kutokana uzoefu wa masuala ya kazi, interviews, CV/resumes na networking kutokana na kukutana na watafuta kazi wengi wanaoleta hapa barua zao. Huwa nafungua nazisoma kabla ya kuziforward

3. Naweza kupata ajira ya taaluma yangu pia mwakani mwezi wa 6 !

4. Nitakuwa najua at least A,B, C za kuendesha kampuni nitatumia mshahara wa kazi nitakayoipata kuwekeza na kujaribu mawazo yangu.
Ukweli sijapitia unapopitia sasa wakati nilipomaliza chuo. Ila nimejifunza sana kutoka kwako. Shukrani na hongera sana.
 
Back
Top Bottom