Anthony Threedeyea
JF-Expert Member
- May 29, 2013
- 471
- 47
kuna binamu yangu ana maliza chuo mwaka kesho ana mapenzi na hizi kazi magereza,jwtz na polisi naomba kuuliza kama anaweza chukuliwa ingawa ameshindwa kutimiza kigezo cha umri kulingana na sheria zao wanataka mwisho miaka 25