GPS location kwenye baadhi ya smartphone

GPS location kwenye baadhi ya smartphone

Kontelo

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
571
Reaction score
161
Habari zenu wakuu..
Nna tatizo la mara kwa mara la kujiwasha gps yenyewe hata km sijaclick on. Hili tatizo hutokea pindi tu niwashapo internet na yenyewe hujiwasha. Simu nnayotumia ni Tecno H6 na ht wakati natumia Tecno H5 tatizo hili lilikuwepo pia. Simcard nnayotumia ni ya Airtel.

Naombeni msaada wenu ktk hili.
Cc mwlRCT
 
Last edited by a moderator:
mkuu msaada pekee wa kuondokana namatatizo hayo ni kununua kinokiacha tochicha line moja tu utakuwa umesolve tatizo.
 
mkuu msaada pekee wa kuondokana namatatizo hayo ni kununua kinokiacha tochicha line moja tu utakuwa umesolve tatizo.

Duuuuuhhh, aina ya ushauri wako ni sawa na ule wa kumshauri mtu mwenye ukurutu akaoge maji ya bahari...tehe tehe tehe teheee
 
hilo tatzo naona airtel ndo tatzo maana me mwenyewe tangu nmebadili line nkaweka airtel nmekuwa nkikumbana nalo sanaa
 
Tecno sio simu ni kifaa kinachofanana na simu
 
Hizo simu zilitengenezwa kwa watu wasio na uwezo wa kununua simu
 
Habari zenu wakuu..
Nna tatizo la mara kwa mara la kujiwasha gps yenyewe hata km sijaclick on. Hili tatizo hutokea pindi tu niwashapo internet na yenyewe hujiwasha. Simu nnayotumia ni Tecno H6 na ht wakati natumia Tecno H5 tatizo hili lilikuwepo pia. Simcard nnayotumia ni ya Airtel.

Naombeni msaada wenu ktk hili.
Cc mwlRCT

Watu naona wanapondea tecno.. Hapo tatizo sio simu, tatizo ni wewe hujazima gps, kawaida unakuta gps iko on hadi uizime, kama hutumii app yoyote inayohitaji gps basi inajiweka standby ila sio completely off... Ili kuweka iwe off moja kwa moja isiwe inajiwasha nenda kwenye Settings > Personal > Location Servies toa tiki kwenye options zote utakazozikuta pale
 
Back
Top Bottom