JF-Expert Member
- Oct 29, 2012
- 1,889
- 1,127
mbwembwe zote humu JF kumbe una higher diploma tu, kasome acha kukesha JF,na mtu mwenye higher diploma anaruhusiwa kusoma masters baada ya kufanya kazi kwa muda wa miaka miwili?
mbwembwe zote humu JF kumbe una higher diploma tu, kasome acha kukesha JF,na mtu mwenye higher diploma anaruhusiwa kusoma masters baada ya kufanya kazi kwa muda wa miaka miwili?
Ila kusoma masters ya edu jishauri vya kutosha kabla ya maamuzi.
mbwembwe zote humu JF kumbe una higher diploma tu, kasome acha kukesha JF,
Hata hapo udsm unasoma masters kwa g.p.a ya 3.3 ,(lower second kwa waliomaliza udsm ) na upper second kwa waliomaliza vyuo vingine
ndo Elimu yake, ila sijamdharau nmemshangaa maana kuna sehem alinituhumu na kunionea sana.Kuuliza swali haimaanishi yeye anakiwango hicho cha elimu. By the way hata hapo alipo haina haja kumdharau.
ndo Elimu yake, ila sijamdharau nmemshangaa maana kuna sehem alinituhumu na kunionea sana.
kwanini mkuu?ila kusoma masters ya edu jishauri vya kutosha kabla ya maamuzi.
Hacheni hupotoshaji jamani udsm ni kazi sana kusoma masters kwa jpa ya 2.7.kuna jamaa yangu aliomba nafasi tena educatio na alikosa,jpa ilikuwa 3.5 kilimfanya akose ni competation ilikuwa kubwa....msidanganyanye tu
mbwembwe zote humu JF kumbe una higher diploma tu, kasome acha kukesha JF,
Mkuu inaonekana mfumo wa NACTE huufahamu kabisa!
nadhani hata higher diploma huifahamu vizuri...
Acha kelele wewe kasome huko diploma n diploma tuuu
Sent from my iPhone using JamiiForums.uuuu
Waweza fanya postgraduate ili kuweka sawa qualification,then ukasomea masters mkuu! Ka sijakosea
ha ha ha ha kuna watu wanadai advanced diploma ni sawa na degree, hii sio kweli kabisa
.......kama walitumia JPA ndo maana walikosa. Ila sisi hapa tunazungumzia GPA..