GPA ngapi zinahitajika ili usome Master ya elimu?

GPA ngapi zinahitajika ili usome Master ya elimu?

BUMIJA

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2011
Posts
6,182
Reaction score
11,782
Kuna utata kuhusu kujiunga na masters hapa tz ikiwa ati kila chuo kinataka Gpa na cut off ilozoweka.tufahamishane point ambazo mtu waweza soma masters.Nimepata Lower second ya point 3.3 Katika Degree ya kwanza hapa chuo kikuu cha Dar es Salaam
 
Kwa hapa Udsm wanataka 3.5 na mimi sijafikisha.Je kwa vyuo vingine naweza soma Masters ya Elimu au ndo naishia kadigrii kamoja mie
 
Waweza fanya postgraduate ili kuweka sawa qualification,then ukasomea masters mkuu! Ka sijakosea
 
Anza na Post graduate ambayo huchukua 9 months then utapga hyo masters. mm nmemaliza accountancy nmefankiwa kupata G.P.A ya 4.62
 
Sielewi post graduate nitafanyeje ili nijiunge au ni kitu gani
 
Niwekeni wazi kua 3.3 napata chuo Wapi
 
Niwekeni wazi kua 3.3 napata chuo Wapi na hivi hapo udom waweza kunisomba kwa hiyo Gpa yangu nisome masters
 
makumira walikuwa mwaka juzi walikuwa wanachukua hadi 2.7 labda kama wamebadilisha kwa sasa.
 
Meljons ok nashukuru kwa taarifa
 
Me nakushauri ufanye kazi kwa miaka miwili hyo ni added advantage ya kusoma MA bla kupita post graduate kwa wenye lower 2nd clac!
 
Kuna utata kuhusu kujiunga na masters hapa tz ikiwa ati kila chuo kinataka Gpa na cut off ilozoweka.tufahamishane point ambazo mtu waweza soma masters.Nimepata Lower second ya point 3.3 Katika Degree ya kwanza hapa chuo kikuu cha Dar es Salaam
Haha masters g.p.a inatakiwa kuanzia 2.7
 
Kuna watu nina uhakika 100% wamesoma masters kwa GPA ya 2.8 undergraduate. So, wewe wa 3.3 mswano kabisa. Wahi kasome mapema
 
Niwekeni wazi kua 3.3 napata chuo Wapi na hivi hapo udom waweza kunisomba kwa hiyo Gpa yangu nisome masters

Udom lazima uwe na GPA 3.5 au zaidi na bora zaidini 3.8 ili wakusomeshe otherwise utajibeba mwenyewe.
 
Karibu chuo kikuu cha arusha kilichopo usa river arusha. hicho chuo unasoma master yoyote kama una GPA ya 2.7 na kuendelea na chuo kipo poa sana kitaaluma na hata miundombinu. karibu sana ingawa hicho chuo kinamilikiwa na wasabato ambao wapo poa
 
Udom lazima uwe na GPA 3.5 au zaidi na bora zaidini 3.8 ili wakusomeshe otherwise utajibeba mwenyewe.

chamviga hebu nakuomba unicheck ili unipe maelekezo 0756729922 issa .kuhusu kusomeshwa au kulipiwa udom
 
Na ada zake ni shs ngapi za tz
 
Kuna utata kuhusu kujiunga na masters hapa tz ikiwa ati kila chuo kinataka Gpa na cut off ilozoweka.tufahamishane point ambazo mtu waweza soma masters.Nimepata Lower second ya point 3.3 Katika Degree ya kwanza hapa chuo kikuu cha Dar es Salaam


UDSM education mpaka 2.7 unasoma masters
 
Ila kusoma masters ya edu jishauri vya kutosha kabla ya maamuzi.
 
Back
Top Bottom