GPA 2.3 unaweza kusoma masters wapi?

Morgan Fisherman

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2017
Posts
1,894
Reaction score
2,228
Habarini wakuu

kama heading inavouliza hapo, je unaweza kusoma masters wapi kama ulipata gpa ya 2.3 degree?

maaana naona vyuo vyote minimum ni 2.7 GPA, je kuna chuo popote au namna yoyote mtu anaweza kafanya kujiendeleza?
 
Habarini wakuu

kama header inavouliza hapo, je unaweza kusoma masters wapi kama ulipata gpa ya 2.3 degree?

maaana naona vyuo vyote minimum ni 2.7 GPA, je kuna chuo popote au namna yoyote mtu anaweza kafanya kujiendeleza?
2030 gombea udiwani, kuwa mbogamboga ukipita kura za maoni utapitishwa kwenye sanduku la kura tu makarani watatiki.

Hapo utajipa hata Master's in Softcopy Attachment, kule kijani hakuna kinachoshindikana.
Ukiweza ubunge uko hata PhD unajipa, chuo unajiandikia hata Deiwaka University hamna anayehoji.
 
Habarini wakuu

kama header inavouliza hapo, je unaweza kusoma masters wapi kama ulipata gpa ya 2.3 degree?

maaana naona vyuo vyote minimum ni 2.7 GPA, je kuna chuo popote au namna yoyote mtu anaweza kafanya kujiendeleza?
Mimi niliyekuwa nakesha karikoo kubeba bidhaa za kuwauzia masista Du wa Chuo huku pindi likinipita sikuwahi kupata GPA mbovu hivyo.Alafu kusoma Master ni kujiongezea ujinga na stress kama anafikiria kutobo kimaisha aitumie vizuri akili aliyopewa na Mungu.
 
Habarini wakuu

kama header inavouliza hapo, je unaweza kusoma masters wapi kama ulipata gpa ya 2.3 degree?

maaana naona vyuo vyote minimum ni 2.7 GPA, je kuna chuo popote au namna yoyote mtu anaweza kafanya kujiendeleza?
Itabidi usome QT kwanza
 
πŸ˜‚πŸ˜‚ile si wanapewa udr wakununua
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚nataka nisome for fun tu maisha yapo yapo
 
 
Kasome PGD ndo utimize vigezo vya kwenda hatua ya masters.
By the way wewe ni kilaza sana mkuu.
Haya ndo madhara ya kuchezea muda na kukosa u seriousness kwenye masomo.
πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Habarini wakuu

kama heading inavouliza hapo, je unaweza kusoma masters wapi kama ulipata gpa ya 2.3 degree?

maaana naona vyuo vyote minimum ni 2.7 GPA, je kuna chuo popote au namna yoyote mtu anaweza kafanya kujiendeleza?
Hakuna Gentleman mwenye masters.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚ile si wanapewa udr wakununua
Kama hutaki wa kununua vipi umeishajipanga kuwa serious na masomo. Ili usijetumia muda mwingi kurudiarudia mara supervisor anakurekebisha.

Ukikosa Master's direct kasome Postgraduate kwanza ili upate sifa. Na kwanini unasoma Master's, kama ni kwa ajili yako binafsi basi soma unayotaka na unayopata, kama unataka uongeze CV kazini usisome nje ya kazi yako au fani yako maana itakosa kukubeba.
 
Habarini wakuu

kama heading inavouliza hapo, je unaweza kusoma masters wapi kama ulipata gpa ya 2.3 degree?

maaana naona vyuo vyote minimum ni 2.7 GPA, je kuna chuo popote au namna yoyote mtu anaweza kafanya kujiendeleza?
Oya nje ya nchi unasoma tafta watu wenye connection zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…