Morgan Fisherman
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 1,894
- 2,228
mkuu yamekua hayo tenaMbinguni labda.....
Au Kizimkazi University! ππΏββοΈ
2030 gombea udiwani, kuwa mbogamboga ukipita kura za maoni utapitishwa kwenye sanduku la kura tu makarani watatiki.Habarini wakuu
kama header inavouliza hapo, je unaweza kusoma masters wapi kama ulipata gpa ya 2.3 degree?
maaana naona vyuo vyote minimum ni 2.7 GPA, je kuna chuo popote au namna yoyote mtu anaweza kafanya kujiendeleza?
Mimi niliyekuwa nakesha karikoo kubeba bidhaa za kuwauzia masista Du wa Chuo huku pindi likinipita sikuwahi kupata GPA mbovu hivyo.Alafu kusoma Master ni kujiongezea ujinga na stress kama anafikiria kutobo kimaisha aitumie vizuri akili aliyopewa na Mungu.Habarini wakuu
kama header inavouliza hapo, je unaweza kusoma masters wapi kama ulipata gpa ya 2.3 degree?
maaana naona vyuo vyote minimum ni 2.7 GPA, je kuna chuo popote au namna yoyote mtu anaweza kafanya kujiendeleza?
Itabidi usome QT kwanzaHabarini wakuu
kama header inavouliza hapo, je unaweza kusoma masters wapi kama ulipata gpa ya 2.3 degree?
maaana naona vyuo vyote minimum ni 2.7 GPA, je kuna chuo popote au namna yoyote mtu anaweza kafanya kujiendeleza?
Nakuzingua tu mkuu. Kama una pesa ya kulipa ada naamini kuna vyuo wanaweza kukuchukua. Bongo hii pesa haishindwi kitu hata kama hivyo ndiyo vigezo cha TCUmkuu yamekua hayo tena
ππile si wanapewa udr wakununua2030 gombea udiwani, kuwa mbogamboga ukipita kura za maoni utapitishwa kwenye sanduku la kura tu makarani watatiki.
Hapo utajipa hata Master's in Softcopy Attachment, kule kijani hakuna kinachoshindikana.
Ukiweza ubunge uko hata PhD unajipa, chuo unajiandikia hata Deiwaka University hamna anayehoji.
πππnataka nisome for fun tu maisha yapo yapoMimi niliyekuwa nakesha karikoo kubeba bidhaa za kuwauzia masista Du wa Chuo huku pindi likinipita sikuwahi kupata GPA mbovu hivyo.Alafu kusoma Master ni kujiongezea ujinga na stress kama anafikiria kutobo kimaisha aitumie vizuri akili aliyopewa na Mungu.
Nakuzingua tu mkuu. Kama una pesa ya kulipa ada naamini kuna vyuo wanaweza kukuchukua. Bongo hii pesa haishindwi kitu hata kama hivyo ndiyo vigezo cha TCU
nilikua natarget hiyo pale open university naona nao sahiv wameleta hayo masuala ya gpa bora nngewahi tuKafanye post graduate diploma
ππKasome PGD ndo utimize vigezo vya kwenda hatua ya masters.
By the way wewe ni kilaza sana mkuu.
Haya ndo madhara ya kuchezea muda na kukosa u seriousness kwenye masomo.
naona nlisoma vibaya prospectus yao nimeirudia hapa naona inakubali kuanzia gpa 2.0Kafanye post graduate diploma
Kasome kwanza Postgraduate Diploma mwaka mmoja ndio ufanye hiyo mastersHabarini wakuu
kama heading inavouliza hapo, je unaweza kusoma masters wapi kama ulipata gpa ya 2.3 degree?
maaana naona vyuo vyote minimum ni 2.7 GPA, je kuna chuo popote au namna yoyote mtu anaweza kafanya kujiendeleza?
Hakuna Gentleman mwenye masters.Habarini wakuu
kama heading inavouliza hapo, je unaweza kusoma masters wapi kama ulipata gpa ya 2.3 degree?
maaana naona vyuo vyote minimum ni 2.7 GPA, je kuna chuo popote au namna yoyote mtu anaweza kafanya kujiendeleza?
Kama hutaki wa kununua vipi umeishajipanga kuwa serious na masomo. Ili usijetumia muda mwingi kurudiarudia mara supervisor anakurekebisha.ππile si wanapewa udr wakununua
Oya nje ya nchi unasoma tafta watu wenye connection zaoHabarini wakuu
kama heading inavouliza hapo, je unaweza kusoma masters wapi kama ulipata gpa ya 2.3 degree?
maaana naona vyuo vyote minimum ni 2.7 GPA, je kuna chuo popote au namna yoyote mtu anaweza kafanya kujiendeleza?