kuna habari zimeenea hapa mjini kuwa Aga Khan anafunga biashara zake hapa Tanzania na kendelea kuwekeza nchi zingine kama msumbiji na kadhalika
Sina hakika kama hopitali yake itauzwa au vipi lakini inaonekana hatakiwi au ana tofauti kubwa sana na wakubwa serikalini
Tunajua kuwa serikali ya Zanzibar ilimtimua japo alifanya miradi mingi ya afya na elimu kile visiwani na badala yake wakapendelea yule mwarabu wa hoteli (barwady)
kama ni kweli tunampa pole sana Aga Khan na asante sana kwa misaada na miradi uliyowekeza Tanzania kwenye Kilimo, afya, hospitali za akina mama vijijini, elimu na kadhalika.
Hii ndio Tanzania...
Mary Nagu na TIC na wengine sina hakika wamefanya juhudi gani kuweza kujua tatizo ni nini na vipi wamefanya juhudi ili kulitatua maana serikali itakosa kodi na watu watakosa ajira toka kampuni zake huyu
Sina hakika kama hopitali yake itauzwa au vipi lakini inaonekana hatakiwi au ana tofauti kubwa sana na wakubwa serikalini
Tunajua kuwa serikali ya Zanzibar ilimtimua japo alifanya miradi mingi ya afya na elimu kile visiwani na badala yake wakapendelea yule mwarabu wa hoteli (barwady)
kama ni kweli tunampa pole sana Aga Khan na asante sana kwa misaada na miradi uliyowekeza Tanzania kwenye Kilimo, afya, hospitali za akina mama vijijini, elimu na kadhalika.
Hii ndio Tanzania...
Mary Nagu na TIC na wengine sina hakika wamefanya juhudi gani kuweza kujua tatizo ni nini na vipi wamefanya juhudi ili kulitatua maana serikali itakosa kodi na watu watakosa ajira toka kampuni zake huyu