EMBU WEWE MWENYE AKILI KIDOGO FIKIRIA JAMBO MOJA KUBWA ALILOTAKA KUFANYA NA NDILO LILOMKIMBIZA ATCL,,,,
"WAKATI ATCL IKIWA INAACHANA NA SOUTH AFRICAN AIRWAYS... kampuni ya atcl ilikuwa na ndege mbili zilizokuwa zimekodishwa toka atcl,,ndege hizi zilikodisha kupitia middlemen mmoja,,ila zilikuwa zimetokea kampuni moja inaitwa SAF AIRWAYS,,,SAF AIRWAYS WAMEKODISHA KWA DOLA 4O,000,,ATCL NASIKIA WALIKUWA WAKILIPA DOLLER 75,000 YARABI SALAMA,,,HUYU BWANA TUKUMBUKE ANA UHUSIANO NA SAA NA MAKUMPUNIMAKUBWA WAKISHIRIKIANA KUIUZA TANZANIA KWA MAKUBURU LEO HII TUNAMPA BODI YA BOT JAMANII,,,,
2))))AKIWA KAMA MWENYEKITI WA BODI YA ATCL ALIDIRIKI KUMPA MKEWE KAZI ZOTE ZA UKARABATI WA COMPUTER NA MAMBOMENGINE KWENYE KAMPUNI,KUPITIA KAMPNI YAKE MOJA,,KATIKA KUMHOJI ALIKIRI NA KUSEMA KAMA WANAUWEZO KWANINI WAPELEEKE SEHEMU NYINGINE,,HAYA MAMBO HAYO
3))Hii ndio hawswa iliomkibiza mshenzi yule kabla ya kutukufukuza sisi,,,tukiwa na ndege hizo mbili tukazirudisha kama moja ya mkataba unavyosema tukiachana ,,,baada ya hapo serikali wakasema wanatoa bill kadhaa kwa ajili ya kununua ndege mpya ,,huyu bwana wakishirikiana na wazungu washenzi wenzie walidiriki kuandika mkataba kwamba wanataka kunua ndege mpya toka kisiwa cha elsavador,,katika mkatba huo mungu si wa mwanakijiji wala mfuruki watu wakauona kabla aujapelekwa kwenye bodi,,,JF PIGENI SALA MAMBO MENGI TU MWAKA HUU SI WA SHETANII,,JAMAA KATIKA REG ZA NDEGE ZIKAANDIKWA NAMBA ZAKE KAMA SHERIA INAVYOSEMA,,GAFLA WATU WAKUCHUKUA KWENDA KUANGALIA NA ZILE TUZIRODISHA HAMAD HAKUNA HATA NAMBA MOJA ILIOBADILISHWA ,,BILA HURMA KIUMBE HUYU AKATKA KUTUUZA TENA KWA MAKUBURU KUPITIA MKONO WA ELSAVADOR,,,KUMBE ZILE ZILE ZILIKUWA ZIENDE HUKO THEN ZITURUDIE TEN ALE HELA AANZE HUYU HUYU TUNAMPA BOT HAYA TUWAACHIE WENYEWE ,,,AKIKATAA TUTAMUULIZA KABLA HATUJAMMWAGIA MKATABA KWENYE FORUMS,,