Govi Lamuokoa Asiende Jela

Chaliifrancisco

JF-Expert Member
Jan 17, 2015
23,497
70,287

Butongwa John vs Republic (Criminal Appeal No.450 of 2017) [2021] TZCA 415; (26 August 2021)​


Binti wa umri wa miaka 17, anasema siku moja alitumwa dukani na baba yake ili akanunue madaftari ya shule, akiwa njiani kurudi nyumbani Binti akakutana na Bwana Butongwa ambaye alipora daftari zake, binti akaanza kudai daftari zake mpaka usiku ulipoingia, Butongwa akamchukua binti
na kwenda kuishi nae mbali kidogo kwa wiki tano (5).

Binti anasena akiwa anaishi na Butongwa walikuwa wakilala pamoja na kufanya mapenzi kama mume na mke.

Ndipo walipokuwa Mahakamani Butongwa alimuuliza swali binti kwamba "kama kweli unanijua vizuri, je mimi
nimetahiriwa au sijatahiriwa? Binti akajibu "umetahiriwa".

Basi bwana Butongwa akaonesha uume wake Mahakamani na kusema yeye "ana govi yaani hajatahiriwa"

Suala hilo limefanya Mahakamani ya Rufani kutilia shaka ushahidi wa binti na kuamua kumuachia huru bwana Butongwa aliyekuwa ameshitakiwa kwa kosa la kubaka, kuteka na kuoa mwanafunzi.


Screenshot_20210916-173054_Samsung Notes.jpg
 
Shida ya mkono wa Sweta bn ukibinjua govi unakutana na unga utadhani kwenye kichwa ulimwagia unga wa dona..hivi wanapataje ujasiri wa Kula mzigo hawa watu na ile Hali?

Wanawake Wana huruma sn😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom