Government summons Mawio publishers

Government summons Mawio publishers

sasa sijui itakuwaje maagazeti yote yakisifia serekali
 
Ndio unavyohisi?Hata kam kuomba ni kubaya ila unachosema hapa kinamdhalilisha JK...ndiye kinara....M4C yenyewe inapata hela nyingi tuu kwa wananchi...Kufungia magazeti ni issue zenu ndogondogo tuu....mtafuga hadi facebook,tweeter, JF....na nyingine nyingi zitakazokuja kabla ya uchaguzi ili mdate vizuri?
Wewe nenda ujerumani ukamsaidie babu yako slaa kuomba msaada wa pesa za M4C na pia eti kaidara ka chadema ka usalama kapewe mafunzo kwa mara nyingine tena na mjerumani ili mchukue dola 2015. hahahhahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! ndoto ya mchana
 
Nakuhurumia sana bro. Sijui hujielewi au unafanya makusudi, ukweli unaujua ww bt its shame to argue on public as u didi here....tunafahamu chadema ni ya wakristo lakini si vyema kukubali hadharani namna hii. Pole sana

Kama chadema ni ya wakristo basi kwanini isifutwe?Wewe kama una ushahidi na bado umekalia kimya bila kupeleka kwa wahusika basi nawe una tenda kosa.Peleka kwa wahusika wakifute
 
Sasa iwapo Maaskofu hawajakanusha maana yake ninini? silence means.........
je mwenye taarifa ya yaliyojiri habari maelezo yupo? mtujuze plz
 
Wamepigilia tena misumali ya inchi 12 utosini.... Mawio mwatupa raha mwe!
 
Back
Top Bottom