Radhia Sweety
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 4,433
- 1,772
Freedom of press shouldn't be at the price of national security. The actions against the tabloid are totally justifiable.
Lizaboni sijui upeo wako wa uelewa wa mambo lakini kwa hili povu nahisi wewe ni wale wa Kawambwa waliofanyiwa mazingaombwe ya Matokeo.
Mawio imeripoti kilichojiri kwenye kikao cha viongozi wakikristo. Tangu habari ile itoke Alhamis umesikia Malasusa au Pengo au kiongozi yeyote wa huo umoja wa wakristo akikanusha? Silent means what?? Sada why blaming the reporter?
Freedom of press shouldn't be at the price of national security. The actions against the tabloid are totally justifiable.
uamuzi unaofanywa na makundi yoyote yale (ambayo ni halali) kujiunga na chadema hautakataliwa
Assah Mwambene ameanza kuwa unprofessional katika utendaji.
Sijui analifuatilia MAWIO kwa sababu ya hisia za mmiliki wake ama nini. Maana alisema alikatazwa kufanya kazi na watu fulani tena kwa kushauriwa kiudaku udaku tu na watu wenye ajenda zao za siri hadi wakaja kulifungia Mwanahalisi. Leo wanatafuta sababu ya kulifungia Mawio.
Je habari iliyoandikwa ni ya uongo? Ni lini wasomi wa nchi hii watatumia taaluma zao?
Wao wache na fikra zao za kushoto tu!
Nakuhurumia sana bro. Sijui hujielewi au unafanya makusudi, ukweli unaujua ww bt its shame to argue on public as u didi here....tunafahamu chadema ni ya wakristo lakini si vyema kukubali hadharani namna hii. Pole sanaAssah Mwambene ameanza kuwa unprofessional katika utendaji.Sijui analifuatilia MAWIO kwa sababu ya hisia za mmiliki wake ama nini. Maana alisema alikatazwa kufanya kazi na watu fulani tena kwa kushauriwa kiudaku udaku tu na watu wenye ajenda zao za siri hadi wakaja kulifungia Mwanahalisi. Leo wanatafuta sababu ya kulifungia Mawio.Je habari iliyoandikwa ni ya uongo? Ni lini wasomi wa nchi hii watatumia taaluma zao?
Assah Mwambene ameanza kuwa unprofessional katika utendaji.
Sijui analifuatilia MAWIO kwa sababu ya hisia za mmiliki wake ama nini. Maana alisema alikatazwa kufanya kazi na watu fulani tena kwa kushauriwa kiudaku udaku tu na watu wenye ajenda zao za siri hadi wakaja kulifungia Mwanahalisi. Leo wanatafuta sababu ya kulifungia Mawio.
Je habari iliyoandikwa ni ya uongo? Ni lini wasomi wa nchi hii watatumia taaluma zao?
Wataumwa na roho sana, kwani siku hizi vijijini hata wazee waantoa hela wapewe copy ya documents zilizoprintiwa toka JF.
Kuna uwezekana pakawa na online media zinazoichukia CCM kabla ya uchaguzi na hazitokuwa na mipaka ya kutoa habari. CCM must die for Tanzania to get out of the ICU
The Director of Information, Mr Assah Mwambene, said in Dar es Salaam on Friday that on Thursday, the tabloid carried a story which was maliciously designed to incite the people against the government
and the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM).
In its June 6-12, issue number 0046, the tabloid carried a story on its front page with a headline reading:
Madhehebu ya Kikristo Kuitenga Serikali meaning Christian denominations to abandon the government.
The newspaper added that effective next month, all Christian clerics including bishops and pastors would be delivering special messagesagainst the government and CCM.
We are doing this because CCM has mishandled the country and enabled Chadema to take charge, according to the article without attributing the claims to any sources.
The tabloid also carried photographs of the Catholic Archbishop of Dar es Salaam, Polycarp Cardinal Pengo and Bishop Alex Malasusa of the Evangelical Lutheran Church of Tanzania (ELCT). Articles of this kind are very bad and dangerous.
We are going to take punitive measures against the publishers. We have summoned the publishers to report at Maelezo (Information Services Department) on Monday.
We have also directed them to apologise immediately, Mr Mwambene said.
Source: Tanzania Daily News
halafu ben kumbuka ile thread ya juzi iliyohusu makala hiyo. machadema wote mlililaani gazeti hilo ila kutokana na serikali kulionya mnaanza kulikingia kifua. mtu gani wewe ben? mbona unakuwa ndumilakuwili wewe? huna haibu na unachokiandika? unataka kuwaaminisha nini watanzania? au ndo msimamo wa chama chenu?
Hii serikali ya ccm imejaa mazuzu mojawapo ndio hilo la habari maelezo.
Viongozi wa dini waliotajwa hakuna hata mmmoja aliyekanusha habari iliyotolewa na gazeti la Mawio. Sasa hiki kiherehere cha Assah Mwambene kinatoka wapi kama sio uzuzu na kulewa mvinyo wa madaraka!?
Na mtahangaika sana humu JF lakini ikulu itakuwa ndoto kwenu , wewe na babu yako slaa ambaye mda huu yuko ujerumani anaomba pesa kwa ajili ya M4C. Na hayo magazeti yenu yatafungiwa tu. Wembe ni uleule.
Anai summon ya nini wakati ameshatoa hukumu kuwa waombe radhi?
huu ni upuuzi wa serikali. Kutumia rungu la habari maelezo kuwaziba wanahabari midomo!
Kilichosemwa ni ukweli mtu, ccm wameshindwa kuongoza nchi kwa uadilifu!
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums