Naona madenti wamezuiliwa kujihusisha na siasa. Serikali itamestukia kwamba wanafunzi wakiwa huru, sio tu wanaenda Chama tawala, bali pia wanaenda hata kwenye vyama vya upinzani. Kwa hiyo dawa ni kupiga marufuku siasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.