Col Miraji
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 546
- 508
Sipati picha utakavyorukaruka kwa furaha nchi yako ikishindwa na wazungu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
eti `tume yetu' hiihii tume ambayo hata ikija na matokeo mazuri utayapinga!Tume yetu imekuwa siri kubwa sana kwa nini, mbona tume zote mbili za uchunguzi zilitangazwa hadharani na zikaapishwa hadharani kwa nini hii inafanywa siri kubwa, nimeanza kukosa imani na hiyo tume yetu
Nakuapia hutaambulia hata senti za hiyo ndoto yako!Endelea kuombea nuksi ila aibu kubwa itakurudia.
Ulisikia api acha story ya vigenge weweNasikia huko goma linageuka.Kila wanalokuja nalo serikali ya Koromije wao Barrrick wanaweka documents mezani na wanakupa ufafanuzi.Mwisho kiongozi wa makoromije anaomba waangalie win win situation
Yaan ww unatapatapa kama joka lilikokatwa kichwa..Mbona hamsemi kama walikagua na makontena?
Kama hakuna kupima upya hu mchanga,hizo wiki karibu 2 mnafanya mazungumzo gani hayo?
Haiwezekani mazungumzo yamegeuka uchunguzi?
Mwacheni tu huyo kichwa chake hakna ubongo ni nguzo tu yakushikizia macho..Acha uzandiki braza. Huelewi hata kinachofanyika kule shut up !
Acha mhemuko, hayo si mazungumko ya kunywa chai. Hayo ni majadiliano ambayo huchukua muda mpaka kufikia muafaka.
Hivi wewe hauna ndugu yoyote anayekupenda akakwambia laivu kwa roho safi kuwa wewe ni mjinga?? Yawezekana haujui kuwa wewe ni mjinga, na hilo ni tatizo lingine!Mbona hamsemi kama walikagua na makontena?
Kama hakuna kupima upya hu mchanga,hizo wiki karibu 2 mnafanya mazungumzo gani hayo?
Haiwezekani mazungumzo yamegeuka uchunguzi?
Ni kwa sababu wanajua kuwa kuna watu wenye roho mbaya kama Wewe kwa kuwa watu hao kama wewe hamfurahii tukipata bali mtafurahi sana tukikosa vyote ili moats nafsi ya kumsema Rais.Tume yetu imekuwa siri kubwa sana kwa nini, mbona tume zote mbili za uchunguzi zilitangazwa hadharani na zikaapishwa hadharani kwa nini hii inafanywa siri kubwa, nimeanza kukosa imani na hiyo tume yetu
Hivi unadhani hawatapima tena! Lazima watayafungua na kupima. Lakini kwanini mambo haya wewe na TL yanawauma? Kuna maslahi yepi mnayoyalinda?Mbona hamsemi kama walikagua na makontena?
Kama hakuna kupima upya hu mchanga,hizo wiki karibu 2 mnafanya mazungumzo gani hayo?
Haiwezekani mazungumzo yamegeuka uchunguzi?
Hivi mna nini? Ulimsikia cheyo TBC alisema katika kamati hiyo kuna hata wapinzani. Subira yavuta heri, haraka za nini?Kuna jambo hapa haliko sawa. Something very sinister on Tanzania side negotiation team.Prof. Ka-bundi is just a lawyer by profession and not an EXPERT ON MINING INDUSTRY!! Hapa ndiko kuna shida!!. Kujua sheria siyo kujua kila kitu including MADINI yetu. Nachelea kusema kwamba timu ya Tanzania lazima itatolewa knock-out mapema asubuhi.
Si tunajua Magufuli mwenyewe kesha waita Mawaziri wake ni WAPUMBAVU!
That being the case nothing good will come out from FOOLS!!!
Kama ktk tume kafahamika prof kabudi na tayari watu washaanza kumponda kuwa hafai kuwa chair,vipi hao wengine wangefahamika ingekuaje?
Utajinyonga mwaka huu.Mbona hamsemi kama walikagua na makontena?
Kama hakuna kupima upya hu mchanga,hizo wiki karibu 2 mnafanya mazungumzo gani hayo?
Haiwezekani mazungumzo yamegeuka uchunguzi?
Nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa wapo wanao tumiwa. Wakati mimi naamini kuwa kinacho endelea ni masahihisho ya makosa, wahusika wanajitanabaisha kama hawakuwahi kukosea!Elewa baadhi ya Watanzani ni wanatumiwa kwa njia mbalimbali kuvuruga Watanzania wazalendo na wapendamaendeleo. Hivyo hao ni wasaliti wa luogopwa kama ukoma
Waache waendelee kuificha maana watanzania ni wajuaji balaa.Yani wanaficha majina kwa sababu watapondwa? Kwani kuna ubaya gani wakipondwa?
Kwenye demokrasi kukosoana na kupondana ndio ada inayotakiwa.
Kuna watu yani wako so very stone age.
Hivi mna nini? Ulimsikia cheyo TBC alisema katika kamati hiyo kuna hata wapinzani. Subira yavuta heri, haraka za nini?
Msaliti wa watz!Nakuapia hutaambulia hata senti za hiyo ndoto yako!