Huo ndiyo ubaya wa kuwa 'LAYMAN'Mbona hamsemi kama walikagua na makontena?
Kama hakuna kupima upya hu mchanga,hizo wiki karibu 2 mnafanya mazungumzo gani hayo?
Haiwezekani mazungumzo yamegeuka uchunguzi?
Wewe ulitaka lifanyweje!!?tunavichwa mil 45+ unataka wote tuwe na same way kweliii!??what matters ni wote kufika pale Tz inatakiwa kufika kwa njia yoyote ile...tatizo ni baadhi ya watu kutaka kujitafutia credit kwa vitu sio....Ni jambo la msingi,lakin linafanywa kipumbavu
Kama ktk tume kafahamika prof kabudi na tayari watu washaanza kumponda kuwa hafai kuwa chair,vipi hao wengine wangefahamika ingekuaje?
posti fromu Nokia kitochi yuzingi jamii forum
Mtoto wa dada analamba 400,000 kwa siku alafu eti mnadai bwana fulani ni mtu safi!!Wanafiki wakubwa!Umepoteza muelekeo kama chama chako
Adui mwombee njaa. Kama wengine wasivyopenda Katiba mpya ingawa ni ya wote n.a. kwa faida ya wote!Why baadhi ya watz wanafurahia nchi yao kufeli hata kwenye jambo la msingi la kuinua uchumi Wa taifa!?
Mkuu,naomba nielewe kuwa mi ni mzalendo,tena mzalendo halisi.Wewe ulitaka lifanyweje!!?tunavichwa mil 45+ unataka wote tuwe na same way kweliii!??what matters ni wote kufika pale Tz inatakiwa kufika kwa njia yoyote ile...tatizo ni baadhi ya watu kutaka kujitafutia credit kwa vitu sio....
Week mbili ni nyingi! No wonder tulisaini mikataba mibovu!Mbona hamsemi kama walikagua na makontena?
Kama hakuna kupima upya hu mchanga,hizo wiki karibu 2 mnafanya mazungumzo gani hayo?
Haiwezekani mazungumzo yamegeuka uchunguzi?
Kama hujui si uulize?mzalendo kwa hisani ya mafisadi!Mkuu,naomba nielewe kuwa mi ni mzalendo,tena mzalendo halisi.
Swala la kulinda rasilimali zetu,ni letu sote haihalishi utofauti wa imani zetu,iwe ki dini au ki siasa.
Nia ya Raisi wetu ni njema,ila kuna tatizo mahala,,,linaweza kuwa la kibinafi(kutopenda kushaurika) au kimfumo(washauri hawamshauri sawa sawa).
Unapo tatua matatizo ya kitaifa,fata ushauri wa misimamo ya watanzani wote,usibague kisa chama flani au mtu fulani kasema,kwa sababu humpendi au unaona atapata umaarufu unaamua kupuuza.
TULISHAURIANA KUWA ZIPO NJIA SAHIHI YA KULITATIA HILI SWALA.
Limepuuzwa,yaliyo semwa yametokea,sasa aibu watu wanajifungia ndani.
Jiulize,baada ya kikao,wakashindwa kuafikiana hii aibu huoni itakuwa ya moja kwa moja kwa serikali,kuliko hata hapo awali ilipo elekezwa kwa wakina chenge?
Tujifunze kusikiliza wenzetu,na ushauri wao kwa maslahi ya nchi yetu.
Kulikuwa na haja gani ya kutuambia tumeibiwa,alafu muna hitisha bunge kurekebisha sheria,na kuishia kuongeza 2% na kuwaachia 94%?
Nawalaumu sana wanao mshauri raisi.
Kwa kifupi barrick na Accacia wapo kwenye soko la hisa. Kuweka mazungumzo wazi yanaweza kushusha bei ya hisa kwa asilimia kubwa.Tume yetu imekuwa siri kubwa sana kwa nini, mbona tume zote mbili za uchunguzi zilitangazwa hadharani na zikaapishwa hadharani kwa nini hii inafanywa siri kubwa, nimeanza kukosa imani na hiyo tume yetu
Hizo kiki za udaku huwa hazibambi...watanzania huwa wanawacheka sana!Mtoto wa dada analamba 400,000 kwa siku alafu eti mnadai bwana fulani ni mtu safi!!Wanafiki wakubwa!
Mkuu una hasira sana,hata zile thread zako za ACACIA zimeota mbawa hatuzioni tena siku hizi waulize kulikoni mbona hawakupi tena habari?Mbona hamsemi kama walikagua na makontena?
Kama hakuna kupima upya hu mchanga,hizo wiki karibu 2 mnafanya mazungumzo gani hayo?
Haiwezekani mazungumzo yamegeuka uchunguzi?
Ndg ukiona hivyo jua upinzani wa nchi yetu umekosa mwelekeoWhy baadhi ya watz wanafurahia nchi yao kufeli hata kwenye jambo la msingi la kuinua uchumi Wa taifa!?
sababu waliotuibia bado wanadunda mtaani, ben na JKWhy baadhi ya watz wanafurahia nchi yao kufeli hata kwenye jambo la msingi la kuinua uchumi Wa taifa!?